makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Bila shaka mmemsikia kilichosemwa na First Lady wa kwanza Tanganyika Mama Maria Nyerere alipoongea na VIONGOZI WA CHADEMA huko Butiama kuwa mwaka 2015 ni wa CHADEMA kuongoza nchi na akaangusha sala nzito!
Naona hiyo 2015 inatuchelewesha kuingia Ikullu hebu na ifike upesi sana tuchukue nchi.Ama kweli mwaka 2015 sijui CCM watapita mlango gani.
CCM lazima wajue kuwa muda wao wa kuachia madaraka umeshawadia. Ilikuwa wapumzike tangu mwaka jana 2010! Uchakachuaji ndiyo uliwaokoa!CCM lazima wajifunze kuwa wimbi linalozikumba nchi za kiarabu la KUTAKA MABADILIKO BAADA YA KUONGOZWA NA MTU AU CHAMA KILEKILE halitaishia huko. Hilo linakuja mpaka hapa Bongoland. CCM wajiandae tu kupisha Ikulu maana muda walioongoza tangu TANU-1961 na leo CCM yaani 50 years umetooooshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!
Naona hiyo 2015 inatuchelewesha kuingia Ikullu hebu na ifike upesi sana tuchukue nchi.Ama kweli mwaka 2015 sijui CCM watapita mlango gani.
CCM lazima wajue kuwa muda wao wa kuachia madaraka umeshawadia. Ilikuwa wapumzike tangu mwaka jana 2010! Uchakachuaji ndiyo uliwaokoa!CCM lazima wajifunze kuwa wimbi linalozikumba nchi za kiarabu la KUTAKA MABADILIKO BAADA YA KUONGOZWA NA MTU AU CHAMA KILEKILE halitaishia huko. Hilo linakuja mpaka hapa Bongoland. CCM wajiandae tu kupisha Ikulu maana muda walioongoza tangu TANU-1961 na leo CCM yaani 50 years umetooooshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!