Habadiliki mtu hapa. Ndio maana tukaumbwa wanaume na wanawake. Kamwe hatuwezi kufanana.You have said it all....wanaume tubadilike!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habadiliki mtu hapa. Ndio maana tukaumbwa wanaume na wanawake. Kamwe hatuwezi kufanana.You have said it all....wanaume tubadilike!
mkuu umeguswa eeh! lol! mimi ni ke sio me wewe!
Hujakamilika wewe!
Habadiliki mtu hapa. Ndio maana tukaumbwa wanaume na wanawake. Kamwe hatuwezi kufanana.
Sijui unazungumzia wanaume wa aina gani! Una fikiri wanaume wote ni walevi?au tuna nyumba ndogo? AU hatutaki wake zetu wafanye kazi!au tuna mahouse girls.unazungumzia asilimia ndogo ya wanaume lakini point zako zinaongelea kama wote tupo hivo,labda kutokana na circle ya watu unaoishi nao.najua wapo wengi hawa fit hata point moja kati ulozitaja.
Hayo masikhara sasa kwenye hiyo namba 13. Xtension ya niniii!!!! Kweli akutukanae hakuchagulii tusi. Hivi ninavyohodhi ile remote pale home kumbe mama nanihii ananichora tu. This is politically inapropriate bana.
​eti eeeeh!!ila ukweli mtupu!!Hakuna uchungu hapo mummy!