Tulizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 848
- 662
Bikira ya mwanamke inapotea siku ile ya kwanza anapoanza kudanganywa na akili finyu ya mwanaume..yaani siyo lazima akutane kimwili.. kukubali maneno ya uwongo toka kwa mwanaume inatosha kupoteza bikira yake kiakili...
Bikira ya mwanaume inapotea unapoanza kuwaza jinsi ya kumdanganya mwanamke...na inaweza potea mara nyingi kama utaendelea kuwaza na kutaka watu wadiscuss "utumbo"!
Bikira ya mwanaume inapotea unapoanza kuwaza jinsi ya kumdanganya mwanamke...na inaweza potea mara nyingi kama utaendelea kuwaza na kutaka watu wadiscuss "utumbo"!