MUHTASARI wa VITA
DEMOCRATS wamekuwa na adui mmoja tuu RUSSIA wanaamini huyu ndiye mtu hatari kwa uwepo wao REPUBLIC wanafanya Kila njia mkato kukaa IKULU na kusukuma AJENDA zao Kibiashara TRUMPH alipojua mpango wa OBAMA kumtumia ZELENSKY akanywa kahawa na PUTIN wakamtorosha DAVID kwenda RUSSIA kupitia LATIN AMERICA secret agent wa USA
Wakawatoa DEMOCRAT kibiashara TRUMPH akajisahau kuwa CHINA no all-time FACTOR kama UINGEREZA akaacha kupokea simu za PUTIN walipokutana nyikani wakiokota Kuni CHINA na RUSSIA wakapeana taarifa muhimu Huku BIDEN anautafuta mlango wa IKULU na anaongea na CHINA
Kwa karibu muafaka ukapatikana PUTIN akampa CHINA file za TRUMPH JI MPING akawa na taarifa zoote sahihi akamwambia BIDEN andaa suti utakuwa RAIS wa MAREKANI KOSA la BIDEN ni mawazo ya zamani kuwa RUSSIA ndiye adui mkuu wakaufufua mpango kazi wao na OBAMA bila kukumbuka kuwa CHINA alikutana na RUSSIA nyikani anaujua walipoamsha POPO wakamkuta PUTIN ameviimba saaaana ....ikawa VITA ya USA na RUSSIA ndani ya UKERENE suluhisho hili litakuwa simple USA na RUSSIA wakikaa na kuacha kuchunguliana bafuni ZELENSKY hawapiganii Wakerene ila tumbo lake na majonzi ya kuamua kuwa ally was mharifu wa mbali badala ya kuwa rafiki wa jirani yake
DEMOCRATS wamekuwa na adui mmoja tuu RUSSIA wanaamini huyu ndiye mtu hatari kwa uwepo wao REPUBLIC wanafanya Kila njia mkato kukaa IKULU na kusukuma AJENDA zao Kibiashara TRUMPH alipojua mpango wa OBAMA kumtumia ZELENSKY akanywa kahawa na PUTIN wakamtorosha DAVID kwenda RUSSIA kupitia LATIN AMERICA secret agent wa USA
Wakawatoa DEMOCRAT kibiashara TRUMPH akajisahau kuwa CHINA no all-time FACTOR kama UINGEREZA akaacha kupokea simu za PUTIN walipokutana nyikani wakiokota Kuni CHINA na RUSSIA wakapeana taarifa muhimu Huku BIDEN anautafuta mlango wa IKULU na anaongea na CHINA
Kwa karibu muafaka ukapatikana PUTIN akampa CHINA file za TRUMPH JI MPING akawa na taarifa zoote sahihi akamwambia BIDEN andaa suti utakuwa RAIS wa MAREKANI KOSA la BIDEN ni mawazo ya zamani kuwa RUSSIA ndiye adui mkuu wakaufufua mpango kazi wao na OBAMA bila kukumbuka kuwa CHINA alikutana na RUSSIA nyikani anaujua walipoamsha POPO wakamkuta PUTIN ameviimba saaaana ....ikawa VITA ya USA na RUSSIA ndani ya UKERENE suluhisho hili litakuwa simple USA na RUSSIA wakikaa na kuacha kuchunguliana bafuni ZELENSKY hawapiganii Wakerene ila tumbo lake na majonzi ya kuamua kuwa ally was mharifu wa mbali badala ya kuwa rafiki wa jirani yake