Hii ni stori ya maisha yangu. Nini ushauri wako kwangu?

Fanya ufanyavyo,chagua kimoja unachokisikia ndani!
Lkn ili ufanikishe bila Mungu (Yesu)utaishia kuhangaika,muweke Mungu kwanza ,omba ulinzi wake sio kwenda kwa watu wa Tiba asili huko labda wasiwe waganga!

Sababu nimesoma btw the lines naona km kila unapoanza kufanikiwa unaugua,kuumwa kupata tatizo!
Haijakaa sawa hii! Ss km umewekewa mipaka ya kutofanikiwa hata ufanye unachokipenda lzm utaishia kuhangaika ,mtafute Mungu bro!

Haya mambo yapo.
nitaufanyia kazi ushauri wako,then thanks
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom