figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,483
- 54,853
habari zenyu bana!?.
hii ni siri nakupeni wewe mwanaume mwenye kuwa na girlfriend au mke,usije ukathubutu kumtania mpenzi wako mambo yanayohusiana na mapenzi.kwa mfano umwambie"nampenda rafiki yako,hunivutii,sikupendi n.k".wewe utachukulia utani na mwenzako atakua anacheka wewe utajua ni poa lakini mwenzio wa kike anaichukulia serious.siku mkikolofishana au kuzozana kidogo tu utakuta anaanza kuongea yale maneno uliyokuwa unamtania.
so kuweni makini na maneno yenu.ni hayo tu.mapenzi mema.mia
hii ni siri nakupeni wewe mwanaume mwenye kuwa na girlfriend au mke,usije ukathubutu kumtania mpenzi wako mambo yanayohusiana na mapenzi.kwa mfano umwambie"nampenda rafiki yako,hunivutii,sikupendi n.k".wewe utachukulia utani na mwenzako atakua anacheka wewe utajua ni poa lakini mwenzio wa kike anaichukulia serious.siku mkikolofishana au kuzozana kidogo tu utakuta anaanza kuongea yale maneno uliyokuwa unamtania.
so kuweni makini na maneno yenu.ni hayo tu.mapenzi mema.mia