The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,502
- 2,046
Nakatishwa tamaa sana na namna serikali ya awamu ya tano inavyojenga matabaka.
Traffic wameruhusiwa kula rushwa ili kupunguza makali ya maisha waalimu wamezuiwa kufundisha tuisheni iliyokua ikiwasaidia japo kihela cha nauli kuendea kazini.
Inamaana wanyonge ndo hao trafic?
Traffic wameruhusiwa kula rushwa ili kupunguza makali ya maisha waalimu wamezuiwa kufundisha tuisheni iliyokua ikiwasaidia japo kihela cha nauli kuendea kazini.
Inamaana wanyonge ndo hao trafic?