Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Nimeudhulia maafali ktk shule moja hapa Dar, kilichonisiktisha ni:
-wahitimu wengi walikuwa wamevaa Kata K
-Wahitimu walivaa suti badala ya sare zao
-Maonesho yao wengi walicheza kiduku na michezo ya kunengua na kukata viuno
Ndugu zangu haya ndiyo maadili kutoka kwenye shule zetu?
-wahitimu wengi walikuwa wamevaa Kata K
-Wahitimu walivaa suti badala ya sare zao
-Maonesho yao wengi walicheza kiduku na michezo ya kunengua na kukata viuno
Ndugu zangu haya ndiyo maadili kutoka kwenye shule zetu?