Hii ni sababu kubwa isiyotajwa sana inayochangia Wabongo kutoweza kurithisha utajiri kwa vizazi vyao

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
13,720
30,629
Watu wengi wanalaumu matajiri kutofundisha vizazi vyao namna ya kuendeleza utajiri wao hata pale wanavyoaga dunia bila kujiuliza sababu zinazosababisha hivyo.

Baada ya kutafakari nimeona UKOSEFU WA UADILIFU kwa mzazi na watoto wake inachangia pakubwa sana kwenye hilo. Matajiri wengi nchini wana upungufu mkubwa wa uadilifu kwenye kuupata utajiri.

Karibu kila tajiri wa kibongo ana siri fulani ya uhalifu alioufanya akawa tajiri. Ufisadi, ujambazi, ukwepaji kodi, madawa ya kulevya na uhalifu mwingine hufanywa sana na matajiri wengi ili kuendelea kuwa matajiri. Ili kuepuka mkono wa sheria wengi huamua kupiga kimya na kutomfundisha yeyote wakiwemo watoto wao namna alivyoupata na anavyoendeleza utajiri wao.

Kibaya ni kuwa watoto wengi hukua wakijiendea tu na kudhani maisha ni mteremko. Na wengine hudhani maisha ni ujanja ujanja.

Watanzania tujitahidi kuwa waadilifu ili kutengeneza kizazi cha waadilifu.
 
Watu wengi wanalaumu matajiri kutofundisha vizazi vyao namna ya kuendeleza utajiri wao hata pale wanavyoaga dunia bila kujiuliza sababu zinazosababisha hivyo.

Baada ya kutafakari nimeona UKOSEFU WA UADILIFU kwa mzazi na watoto wake inachangia pakubwa sana kwenye hilo. Matajiri wengi nchini wana upungufu mkubwa wa uadilifu kwenye kuupata utajiri.

Karibu kila tajiri wa kibongo ana siri fulani ya uhalifu alioufanya akawa tajiri. Ufisadi, ujambazi, ukwepaji kodi, madawa ya kulevya na uhalifu mwingine hufanywa sana na matajiri wengi ili kuendelea kuwa matajiri. Ili kuepuka mkono wa sheria wengi huamua kupiga kimya na kutomfundisha yeyote wakiwemo watoto wao namna alivyoupata na anavyoendeleza utajiri wao.

Kibaya ni kuwa watoto wengi hukua wakijiendea tu na kudhani maisha ni mteremko. Na wengine hudhani maisha ni ujanja ujanja.

Watanzania tujitahidi kuwa waadilifu ili kutengeneza kizazi cha waadilifu.
ni kweli
 
Watu wengi wanalaumu matajiri kutofundisha vizazi vyao namna ya kuendeleza utajiri wao hata pale wanavyoaga dunia bila kujiuliza sababu zinazosababisha hivyo.

Baada ya kutafakari nimeona UKOSEFU WA UADILIFU kwa mzazi na watoto wake inachangia pakubwa sana kwenye hilo. Matajiri wengi nchini wana upungufu mkubwa wa uadilifu kwenye kuupata utajiri.

Karibu kila tajiri wa kibongo ana siri fulani ya uhalifu alioufanya akawa tajiri. Ufisadi, ujambazi, ukwepaji kodi, madawa ya kulevya na uhalifu mwingine hufanywa sana na matajiri wengi ili kuendelea kuwa matajiri. Ili kuepuka mkono wa sheria wengi huamua kupiga kimya na kutomfundisha yeyote wakiwemo watoto wao namna alivyoupata na anavyoendeleza utajiri wao.

Kibaya ni kuwa watoto wengi hukua wakijiendea tu na kudhani maisha ni mteremko. Na wengine hudhani maisha ni ujanja ujanja.

Watanzania tujitahidi kuwa waadilifu ili kutengeneza kizazi cha waadilifu.
Kukinzana kwa mawazo ya mzazi na familia pia ni chanzo cha matatizo. Katika familia nyingi za kitajiri unakuta baba anajifikiria yeye kama yeye na sio familia aliyonayo. Maana matajiri wengi wanapata hela wakiwa washamba wa hela. Wakiamini hakuna kosa wanaweza kufanya na pesa ni kila kitu. Utam-convince vipi mtoto ashinde kwenye biashara siku nzima huku unachukua hela na kumnunulia kimada gari ? Maana mtoto akisimamia biashara ataona uchungu wa hela na ataanza kuhoji matumizi yako. Na ukisema umdekeze mtoto ili asiumie ukihonga vimada utamfanya asitake shule. Kama yaliyotokea kwa marehemu Mzee Melau Mrema wa Ngurdoto. Ukipata hela watakusumbua kama nzi kwenye bucha la nyama. Unachotakiwa kufanya ni kuwa makini usizae na mwanamke mjinga.Na ujitambue kuna umri unatakiwa uache kukimbiza chupi maana utaipasua familia. Familia zenye matatizo haya matajiri wakifa wanaofaidi mali ni ndugu na marafiki wa karibu pamoja na wakili wa marehemu. Hauwezi kutegemea mali isiuzwe kama umezaa watoto sita na wanawake tofauti wenye malezi tofauti .
 
Utajiri upi wa wabongo?
Sema wafanyabiashara sio matajiri ambao hata top ten hatumo nchini
Wafanyabiashara wengi waswahili angalia maduka yao huwezi kukuta mtoto katoka shule anaenda dukani au hata wakati wa likizo wazazi hawahimizi watoto kujifunza biashara hata iwe ya aina gani

Tofauti na wengine ambao unakuta wanawafundisha watoto biashara wakijua wamewalea kwa nidhamu na pia watoto wanajua maisha yao ndio hayo hata asome mpaka wapi
Sasa hawa wa kwetu anawaza kijiwe tu na kubet saa ngapi atakaa na baba yake?
Maadili yaanzie nyumbani na mashuleni
 
Kukinzana kwa mawazo ya mzazi na familia pia ni chanzo cha matatizo. Katika familia nyingi za kitajiri unakuta baba anajifikiria yeye kama yeye na sio familia aliyonayo. Maana matajiri wengi wanapata hela wakiwa washamba wa hela. Wakiamini hakuna kosa wanaweza kufanya na pesa ni kila kitu. Utam-convince vipi mtoto ashinde kwenye biashara siku nzima huku unachukua hela na kumnunulia kimada gari ? Maana mtoto akisimamia biashara ataona uchungu wa hela na ataanza kuhoji matumizi yako. Kama yaliyotokea kwa marehemu Mzee Melau Mrema wa Ngurdoto. Ukipata hela watakusumbua kama nzi kwenye bucha la nyama. Unachotakiwa kufanya ni kuwa makini usizae na mwanamke mjinga.Na ujitambue kuna umri unatakiwa uache kukimbiza chupi maana utaipasua familia. Familia zenye matatizo haya matajiri wakifa wanaofaidi mali ni ndugu na marafiki wa karibu pamoja na wakili wa marehemu. Hauwezi kutegemea mali isiuzwe kama umezaa watoto sita na wanawake tofauti wenye malezi tofauti .
Asante.
 
Utajiri upi wa wabongo?
Sema wafanyabiashara sio matajiri ambao hata top ten hatumo nchini
Wafanyabiashara wengi waswahili angalia maduka yao huwezi kukuta mtoto katoka shule anaenda dukani au hata wakati wa likizo wazazi hawahimizi watoto kujifunza biashara hata iwe ya aina gani

Tofauti na wengine ambao unakuta wanawafundisha watoto biashara wakijua wamewalea kwa nidhamu na pia watoto wanajua maisha yao ndio hayo hata asome mpaka wapi
Sasa hawa wa kwetu anawaza kijiwe tu na kubet saa ngapi atakaa na baba yake?
Maadili yaanzie nyumbani na mashuleni
Huku watumishi wa umma ndiyo matajiri,pesa na mali walizokuwa
Nazo ni za kukwapua
Sasa utaanzaje anzaje kuwaadisia wanao namna gani ulivyopata mali ,unakuta mtu miaka miwili tu ana ukwasi wa ajabu biashara hana

Ova
 
Huku watumishi wa umma ndiyo matajiri,pesa na mali walizokuwa
Nazo ni za kukwapua
Sasa utaanzaje anzaje kuwaadisia wanao namna gani ulivyopata mali ,unakuta mtu miaka miwili tu ana ukwasi wa ajabu biashara hana

Ova
Daa poleni, ndio maana unakuta viongozi watoto wao wanawaita Machipukizi wa Chama
Yaani mtoto hajafikisha hata balehe anaandaliwa kuwa muongo muongo
Hilo group ni tofauti kidogo maana watoto wanaishi maisha feki ila wakiwa wakubwa ndio unawaona wanaenda danganya masikini
 
Huku watumishi wa umma ndiyo matajiri,pesa na mali walizokuwa
Nazo ni za kukwapua
Sasa utaanzaje anzaje kuwaadisia wanao namna gani ulivyopata mali ,unakuta mtu miaka miwili tu ana ukwasi wa ajabu biashara hana

Ova
Au mwingine sio mtumishi wa umma ila mshirikina pro max.
 
Watu wanahangaika sana na Waafrika.

😂😂😂😂😂😂😂

Hakuna jipya lelote lile lililoandikwwa humu zaidi ya propaganda za kuwatukuza Wazungu.

Ama huo ulinganishi mnaufanya wapi?

Miaka 10 ijayo, Jamiiforums kwa namna moja ama nyingine, itakuwa ni mchangiaji mkubwa sana wa matusi ya chini chini dhidi ya Watanzania na Waafrika.
 
Au mwingine sio mtumishi wa umma ila mshirikina pro max.
Huko ndiko nlikuwa nakuja
Mfano utajiri kama wa A.M au msf
Watoto zao mpk wanakuwa wanajuwa wazee wao walikuwa wadhulumati hivi utajiri huo ni wa kuuringia 😄
Mimi najuwaga mali kama ilipatikana kimagumashi itakuja ondoka kimagumshi tu

Ova
 
Watu wengi wanalaumu matajiri kutofundisha vizazi vyao namna ya kuendeleza utajiri wao hata pale wanavyoaga dunia bila kujiuliza sababu zinazosababisha hivyo.

Baada ya kutafakari nimeona UKOSEFU WA UADILIFU kwa mzazi na watoto wake inachangia pakubwa sana kwenye hilo. Matajiri wengi nchini wana upungufu mkubwa wa uadilifu kwenye kuupata utajiri.

Karibu kila tajiri wa kibongo ana siri fulani ya uhalifu alioufanya akawa tajiri. Ufisadi, ujambazi, ukwepaji kodi, madawa ya kulevya na uhalifu mwingine hufanywa sana na matajiri wengi ili kuendelea kuwa matajiri. Ili kuepuka mkono wa sheria wengi huamua kupiga kimya na kutomfundisha yeyote wakiwemo watoto wao namna alivyoupata na anavyoendeleza utajiri wao.

Kibaya ni kuwa watoto wengi hukua wakijiendea tu na kudhani maisha ni mteremko. Na wengine hudhani maisha ni ujanja ujanja.

Watanzania tujitahidi kuwa waadilifu ili kutengeneza kizazi cha waadilifu.
UNAANZAJE ILI HALI WAZAZI WENYEWE WANAIBA MITIHANI KUMSAIDIA MTOTO KUFAULU???????
 
Huko ndiko nlikuwa nakuja
Mfano utajiri kama wa A.M au msf
Watoto zao mpk wanakuwa wanajuwa wazee wao walikuwa wadhulumati hivi utajiri huo ni wa kuuringia 😄
Mimi najuwaga mali kama ilipatikana kimagumashi itakuja ondoka kimagumshi tu

Ova
Tokea nikiwa mtoto Arusha huyo A.M alikuwa anajulikana kwa ujambazi na dhuluma. Na kina Nyari.
 
Watu wengi wanalaumu matajiri kutofundisha vizazi vyao namna ya kuendeleza utajiri wao hata pale wanavyoaga dunia bila kujiuliza sababu zinazosababisha hivyo.

Baada ya kutafakari nimeona UKOSEFU WA UADILIFU kwa mzazi na watoto wake inachangia pakubwa sana kwenye hilo. Matajiri wengi nchini wana upungufu mkubwa wa uadilifu kwenye kuupata utajiri.

Karibu kila tajiri wa kibongo ana siri fulani ya uhalifu alioufanya akawa tajiri. Ufisadi, ujambazi, ukwepaji kodi, madawa ya kulevya na uhalifu mwingine hufanywa sana na matajiri wengi ili kuendelea kuwa matajiri. Ili kuepuka mkono wa sheria wengi huamua kupiga kimya na kutomfundisha yeyote wakiwemo watoto wao namna alivyoupata na anavyoendeleza utajiri wao.

Kibaya ni kuwa watoto wengi hukua wakijiendea tu na kudhani maisha ni mteremko. Na wengine hudhani maisha ni ujanja ujanja.

Watanzania tujitahidi kuwa waadilifu ili kutengeneza kizazi cha waadilifu.
Utajiri wa kweli ni elimu sio vinginevyo ,wazazi nao wanasema watoto wapenda kula Bata kuliko kifanya kazi
 
Wabongo hakuna matajiri. Wapo waigizaji tu. MATAJIRI KWELI WAPO ULAYA
Acha kutudharau wa TZ kipimo cha utajir ni kipi mpka ionekane huku kwetu hakun matajir wapo ulaya kwa kipimo gani?
Kwasababu hata huko vijijin kuna mtu kijiji kizima yeye ndie ana ng'ombe 20 na shamba heka 10 kwa hapo kijijin yeye ni tajiri, halaf atokee mtu aseme hapo kijijin kwenu hakun tajir matajir wakina GSM huko nauliza kipimo cha utajiri ni kipi?
 
Back
Top Bottom