Hii ni rufaa mojawapo sijawahi kuiona Katika kazi yangu ya Ujaji. Maofisa wa mahakama kama mahakimu wanapaswa kutumia utashi wao kuamua haki za watu

Nikimsoma huyu Jaji nashindwa kuelewa mawakili wa serikali huwa wanapatikanaje!!

Kwanza nilifikiri huyu Jaji katokea kwa wabobezi wa sheria Kenya!

acha ushabiki na siasa kwenye maswala ya msingi, mawakili wa serikali wanafanya kazi nzuri licha ya maslahi kidogo na mazingira magumu uakufanyia kazi.
n cjui umetumia kigezo gani kusema kenya ni wabobezi wa sheria kwa sababu historical n in practical argument yako ni fallacy
 
Jaji Rumanyika atakuwa na uzoefu wa miaka Mingi kazini halafu anazingatia maadili ya haki
 
What a pathetic comment!
Unafikiri watu hawaelewi maamuzi yaliyo kinyume na sheria,Hata huyo Mashauri huenda kuna maamuzi alifanya sawa sawa kabla ya kuja kufanya haya ya hovyo,sasa wewe unachotuambia tungempongoza hata kwa haya maamuzi ya hovyo sababu aliwahi fanya mazuri huko nyuma.
Mnachoshindwa kuelewa watu wenye akili ndogo ni kwamba katiba na sheria za nchi ndizo zinapaswa kuongoza muhimili wa mahakama na sio hisani au hisia za jaji.
Wakiamua kesi hovyo watakosolewa tu.

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
Ni kweli kabisa huyu hakimu/Jaji Mashauri aliwahi kutoa uamuzi mzuri sana kwa CHADEMA hapo nyuma, akipingana na mawakili wa serikali. Hapo alistahili pongezi. Lakini kwa hayo maamuzi mengine hakuongozwa na sheria bali tumbo lake. hapo lazima tule naye sahani moja
 
Back
Top Bottom