Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
ulevi mwisho kuna mmoja baada ya Yanga kushinda Kagame Cup akaliosha gari lake la kijani kwa bia kama kreti 2 hahaha!Nawe umewatowa wapi hawa washikaji? Na mbona ni kama wanajimiminia lager? Kweli "ULEVI NOMAaaaaa" Na bila shaka WANYWAJI tunao humu JF! Lakini nimeendelea kuwareki na nikaona kama si wanakunywa lager ya TBL bali wanaonekana kama wanapata ila kinywaji ya BANANA WIN na nasikiaga ni hatari sana kama haupo fit kiafya kwani unaweza hata kuvua nguo yote baada ya kunywa kwn yote inakuwa kama ni mzigo wa Taifa hili la TANZANIA iliyowachosha raia wake. KWELI ULEVI NOMAAAAAAAAaaaaaa!!!!
<br />ulevi mwisho kuna mmoja baada ya Yanga kushinda Kagame Cup akaliosha gari lake la kijani kwa bia kama kreti 2 hahaha!
lete tusker nilipe kodi....ulevi sio noma mmesahau TBL ndo inaogoza kwa kulipa kodi, hivyo ulevi ndo unajenga bara bara, ulevi unalipa mishahara ya watumishi wa umma, ulevi unalipa ada zenu vyuo vikuu, idumu pombe daima naomba heineken yangu ya baridi nilipe kodi
hiyo tunaita mbuguni style.....ulevi mwisho kuna mmoja baada ya Yanga kushinda Kagame Cup akaliosha gari lake la kijani kwa bia kama kreti 2 hahaha!
na unatumia line gani ya simu?vodakomu?lete tusker nilipe kodi....
<br />hiyo tunaita mbuguni style.....
Swali lako limekaa kimtego teh! teh! lakini nikujibu mdogo wangu Preta anatumia Airtel wanaolipa kodi.na unatumia line gani ya simu?vodakomu?
hahah Uporoto bwana.. sina nia ya kumtega dada yetu aiseeSwali lako limekaa kimtego teh! teh! lakini nikujibu mdogo wangu Preta anatumia Airtel wanaolipa kodi.
nitakudip....na unatumia line gani ya simu?vodakomu?
sasa thawabuu zote za mfungo si zinaishia hapoIddi Mosi hiyo.
ngoja kwanza nakuja Arusha huko....simu yangu ukibeep tu inajipokea directnitakudip....