Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu huyo alienae hakatai wingi, anamuangalia tu akijiunga nao(jinsia ya pili).
Huyo dada ni host wa kipindi cha celebrity wetu cha TBC na hapo daidomo alikuwa anajipodoa kwaajil ya hicho kipindi
Huyo ndo Helen kazimoto?
Huyo daidomo basi Mashallah, mtoto si rizki.....Huyo dada ni host wa kipindi cha celebrity wetu cha TBC na hapo daidomo alikuwa anajipodoa kwaajil ya hicho kipindi
Huyo daidomo basi Mashallah, mtoto si rizki.....
of oll ze vipodozi ndo apake wanja wa chini ya macho?ptuuu!Yaani Wabongo bana walivyo malimbukeni wa kuiga,na kuiga kwenyewe hawakuwezei yaani utamkuta mwanaume anatumia make up za kike na saloon pia huwaga wanawapodoa wanaume kwa kutumia make up za kike na lipshine za kike pia kama mnabisha angalieni movies nyingi tu za kibongo wanaume wamepakwa mijipona tena ya wazungu wakati kuna vipodozi vya watu wa rangi pia kuna make up za wanaume so acheni ushamba,mara utakuta kidemu ati Bongoflava kimepaka mijimake up ya wazungu na mijirangi flani hivi juu ya kope yaani kama Vampire vile Lol Wabongo bana
of oll ze vipodozi ndo apake wanja wa chini ya macho?ptuuu!
mtamjuaje kuwa ni mzuri....