Haiingii akirini mwenyekiti wa tume anapohojiwa na BBC kuhusu utangazaji wa matokeo ktk ngome za CCM na CUF huku wakikwepa majimbo aliyoongoza Dr.Slaa anasema wao wanayatoa straight yanapoingia so hawana upendeleo. Then jana alipoulizwa kwa nini matokeo yaliyotolewa ni tofauti na yale aliyonayo Dr.Slaa, akasema ni kweli aliyonayo Dr.Slaa yako sawa ila wao wakipokea wanayahakiki ndo wanatoa hadharani. masanduku ya kura yapo Musoma, wewe umeletewa report, Kikwete-200, Slaa-12, sasa hapo unahakiki nini badala ya kutangaza?Kwa nini wamewakataza viongozi wa majimbo wasitoe matokeo?Walijua wakitoa tofauti wananchi watawamaliza na wakiyatolea Dar, anashinda mtu wao then wanamuapisha akishashika dora kazi imeisha, hawa makafiri ht wakiandamana tutawakamua watakufa baadhi lakini baadae watatulia. Only God will judge us but hii haivumiliki, something must be done to rescue our country.