yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,549
- 3,511
Namba ya ofisi ya raisi
Hiyo ni namba ya Ikulu....ulipigiwa kupewa UDC au URC, unaona dharau zako zilivyokuponza?Shalom,
Jana majira ya 19:21 jioni namba hiyo hapo nilikuta imenipigia (Missed call) kupitia line yangu ya Vodacom, nilijaribu ipigia naambiwa namba upigayo haipo.
Je, kuna yeyote humu jamvini alishawahi pigiwa na namba hiyo?
Kwa Code inaonekana ni namba ya Tanzania japo ukipiga unaambiwa haipo..
SWALI : je, kuna yeyote humu JF alishawahi kupigiwa na namba hii :
+255255620120253 ?
Au ni wale watu wa tuma kwenye namba hii, jina litatokea ()!???Mimi kuna hii imenisumbua sana karibia kila siku inapiga nikipokea inakata ila kwenye simu yangu inaandika from comoro +269 393 11 05
Wapumbavu sanaWanazingua Kinoma, kwani umekaa zako unasubiria simu ya mchongo then unakutana na "utopolo"
mbona nimeichek inapatikanaView attachment 1833292
Jina lako haliwezi kuwepo huko kabla hujathibitishwa na kufanyiwa uchunguzi, ulipigiwa simu ukakataa kupokea, imetoka hiyooooo!Jina langu nalisubiria kwenye PDF la ma-DED