Whitney Houston
JF-Expert Member
- Jan 5, 2019
- 213
- 403
Eti waku hii namba ya nchi gani naogopa kuipokea
zimezidi 10.Ndo manasielewi.Af code imezidi 5 5,af mbele ya+255 mbona hamna 7,6,au 1.Au kuna kampuni mpya mimi nimechelewa kujua mkuu?Namba ya bongolandi +255 kipi huelewi? Manamba kuwa mengi usitishike
Hao voda waseee😅 simu la promotion hiloEti waku hii namba ya nchi gani naogopa kuipokeaView attachment 2036156
kumbe.Haya asanteHao voda waseee😅 simu la promotion hilo
Ngoja wakipiga tena tapokea.Kwamba ukipokea utayeyuka au?.Au unaamini zile stori za namba inayochukua watu kimiujiza.Wewe pokea mzungumzaji akiongea ujinga kata.vinginevyo labda uwe unadaiwa sana sasa una wasiwasi na wadeni wako,just joke.