data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,149
- 22,726
Ndugu zangu ivi mwafahamu kuwa Bao la Usingizini... yaani unaota uko ktk mapenzi afu ukakojoa ndotoni... mnahabari kuwa hakuna bao taamu,satisfying,linalochosha na kulegeza viungo kama lile... Swali.. ni kwanini bao la ndoton ni tamu sana..?? wadada na ninyi uwa mwapata hii kitu ndotoni..??