mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Hii ni rekodi inayoshikiliwa na Yanga hadi sasa. Ni timu iliyowahi kufungwa magoli mengi zaidi kuliko timu yoyote kwenye hatua ya makundi kwenye ligi nya mabingwa CAF. Ilifungwa magoli 19 kwenye mechi 6 na ikaburuza mkia!! Hii ilikuwa mwaka 1998.
Most goals conceded in group stage (single season): 19
Young Africans SC in 1998
Hadi leo haijawahi kutokea timu ikafungwa magoli mengi hivyo kwenye hatua hiyo ya makundi CAF champions league!!
Most goals conceded in group stage (single season): 19
Young Africans SC in 1998
Hadi leo haijawahi kutokea timu ikafungwa magoli mengi hivyo kwenye hatua hiyo ya makundi CAF champions league!!