Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaHuyu jamaa alimkamata mwandishi wa habari toka majuu alikuwa mwanamke
Kwanza akimnanihiii
Halafu akampiga mhuri wa moto papuchi kwa initial za jina lake. I.D
Alimuacha aende zake
Kama yuko hai papuchi yake akiiangalia anamkumbuka kidume
Ulitakiwa itakuwa iwekwe pale Entebe Airpot kama bango la matangazo ya utalii
Fafanua mzee,,,watu weusi na iraq na afghanistan wapi na wapi?Picha ya kawaida sana hii, unyama mtu mweupe aliowatendea watu weusi na anaoendelea kuwatendea, uwezi kuulinganisha na kapicha Kama haka.
Apartheid, Zimbabwe, Iraq, Afghanistan,
Kweli hu
Kweli humu watoto wengi
Mufalme wa wanyama wote duniani na samaki wote baharini
He said he was a good marksman!Alijaliwa kupata watoto 45 katika uhai wake
Muda si mrefu sana Hata sisi Wachina watatulazimisha tuwabebe kwa uzembe ambao unataka kufanyika bandari ya Bwagamoyo.Si unajua Waganda wameshaanza kumbeba Mchina kupitia uwanja wa ndege.Na sasa utaitwa China Uganda Inter.Airport.Nimemchukia sanaaaaaa Mchina.Natamani aondoke kabisa TanzaniaPicha ya kawaida sana hii, unyama mtu mweupe aliowatendea watu weusi na anaoendelea kuwatendea, uwezi kuulinganisha na kapicha Kama haka.
Apartheid, Zimbabwe, Iraq, Afghanistan,
Afuta kitabu kinachoitwa Rise and Fall of Idd Amin.Haya yote utayakuta humo.wewe huamini kwa kuwa umezaliwa jana.Soma vitabu.Kwamba alikuwa anakula nyama za watu kisha vichwa vyao anaviweka kwenye friji
Sio hivyo tu alimuambia Malikia when you come to Uganda i will revenge and i will sleep on top of you akiwa na maana mazuri uliyonitendea siku ukija Uganda na mimi nitakufanyia wema ulionitendea na ukija mimi tutalala flat moja mimi floor ya juu wewe ya chiniAfter a state banquet at Buckingham palace he told the queen, when you come to Uganda I will revenge.