Hii ni moja ya picha ambazo Waingereza hawapendi kuziona

Picha ya kawaida sana hii, unyama mtu mweupe aliowatendea watu weusi na anaoendelea kuwatendea, uwezi kuulinganisha na kapicha Kama haka.
Apartheid, Zimbabwe, Iraq, Afghanistan,
Fafanua mzee,,,watu weusi na iraq na afghanistan wapi na wapi?
 
Kuna mtu alikuwa anatutawala kwa kufuata nyayo za huyu na alikuwa mda wote anaenda Uganda. Alikuwa anajifunza kwa Museveni na Kagame namna ya kuitawala nchi bila ukomo. March 17 ni siku kuu ya utawala bora Tanzania
 
Picha ya kawaida sana hii, unyama mtu mweupe aliowatendea watu weusi na anaoendelea kuwatendea, uwezi kuulinganisha na kapicha Kama haka.
Apartheid, Zimbabwe, Iraq, Afghanistan,
Muda si mrefu sana Hata sisi Wachina watatulazimisha tuwabebe kwa uzembe ambao unataka kufanyika bandari ya Bwagamoyo.Si unajua Waganda wameshaanza kumbeba Mchina kupitia uwanja wa ndege.Na sasa utaitwa China Uganda Inter.Airport.Nimemchukia sanaaaaaa Mchina.Natamani aondoke kabisa Tanzania

Atakuja kutufanyia kitu mbaya, aondoke,aondoke,aondoke........................kwa sauti kubwa.
 
After a state banquet at Buckingham palace he told the queen, when you come to Uganda I will revenge.
Sio hivyo tu alimuambia Malikia when you come to Uganda i will revenge and i will sleep on top of you akiwa na maana mazuri uliyonitendea siku ukija Uganda na mimi nitakufanyia wema ulionitendea na ukija mimi tutalala flat moja mimi floor ya juu wewe ya chini
 
73 Reactions
Reply
Back
Top Bottom