Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Ushaharibiwa wewe aisee lolAmmeeeen....
na kwa vile mtumishi wa Mungu naye atakuwepo siyo vyema kuwa na pombe, lol!
maana mama mchungaji hawezi kuudhuria hii kitu bila teja lake, lol!
Ushaharibiwa wewe aisee lolAmmeeeen....
na kwa vile mtumishi wa Mungu naye atakuwepo siyo vyema kuwa na pombe, lol!
maana mama mchungaji hawezi kuudhuria hii kitu bila teja lake, lol!
ha haaaaaaa, kuharibiwa na teja mbona raha tupu! wala sijutii aiseeUshaharibiwa wewe aisee lol
tooba. Sasa mtoto itakuwaje kama akiona hivi. Asije akatamani kirudi alikokuwa.
weeeh, nilikuwa najikwatua sasa niko mwake. Umependeza besdei boy. Wifi yuko wapi, hebu vunja kikombe leo umtaje. Manake unafanya siri usikute wako wengiAisee dada yangu king'ast sijamuona au tayari kapombeka mpaka kasahau wajibu wake?
Hahahaha! Nimebunia tu!khaa! Aliyekwambia nimezaliwa siku kama ya leo nani? Ntakuchapa!
Hahahaha! Nimebunia tu!