Hii ni kweli?

Mlalahoi

JF-Expert Member
Aug 31, 2006
2,182
883
Dada mmoja amenambia kuwa JK ameeleza kuwa atarudi tena USA mwezi ujao.Ni tetesi tu,sijui kama kuna mtu nae amesikia tetesi hizo.Kma ni kweli basi huenda tukawa ni nchi ya kwanza kuwa na rais mtalii.
 
Labda JK alikuwa anazungumza kwa faragha na huyo dada, wakapanga waonane tena mwezi ujao. Kama atatumia fedha zake kumfuata, kuna mbaya gani? Au ulitaka akae ofisini afanye kazi? Hana mazoea hayo. You can't teach an old dog new habits.

Na huo mwezi ujao unaozungumzia una maana kesho? Maana leo ni tarehe 29 eti! Kwa vyovyote vile, huenda sio kweli kwani huyu Bwana yuko kwenye Mfungo Mtukufu

Augustine Moshi
 
Augustine Moshi said:
Labda JK alikuwa anazungumza kwa faragha na huyo dada, wakapanga waonane tena mwezi ujao. Kama atatumia fedha zake kumfuata, kuna mbaya gani? Au ulitaka akae ofisini afanye kazi? Hana mazoea hayo. You can't teach an old dog new habits.

Na huo mwezi ujao unaozungumzia una maana kesho? Maana leo ni tarehe 29 eti! Kwa vyovyote vile, huenda sio kweli kwani huyu Bwana yuko kwenye Mfungo Mtukufu

Augustine Moshi

Huyo dada anasema aliskia stori hiyo kwa rafiki yake yuko Houston ambako inadaiwa JK ana "matawi" mawili.As I said earlier,ni rumours na sijui kama zina substance yoyote.Ila nadhani inabidi JK na PM wake waelewe kuwa uongozi si safari kila mwezi.Kuhusu mfungo,pengine anapanga kuja kula Idd huko States...hatabiriki huyu!
 
Itakuwa kali kama ni kweli.

Mwezi mmoja sio mbali .. tutajua tu kuwa hii ni ukweli huu au ni NYEPESI NYEPESI.
 
JK kaahidi kurudi US na kufanya safari kwenye States za Magharibi.
Kuendana na habari za kutoka Likuli St safari hiyo itakuwa mahususi kwa ajili ya kutembelea L.A na Seatle.
 
Hivi USA kuna nini huko jamani?

itabidi hata mimi nitafute fedha ili siku moja nifike huko nipaone.

Maana matajiri wengi wa tanzania wamepeleka watoto wao kusoma huko. Viongozi wanapeleka watoto wao kusoma huko. Sasa rais wa Tanzania naye hataki kutoka huko!!!!!!!!!!

Lowassa anasema huko kuna sungura wengi!

Sungura wengi mimi ninajua wako Tanzania kwa kuwa tuna maliasili nyingi.


Vijana wengi waliosomea huko labda ndiyo wamezunguka JK kwa hiyo wanahakikisha safari za huko haziishi!
 
Ilikua aende LA, kukutana na Bill Gates, lakini sfari imekuwa ndefu mno ikabidi LA ifutwe dakika ya mwisho na kuwagharimu watayarishaji at least dola 35,000 kwa hiyo ni lazima arudi kwa ajili ya kumalizia kiporo, kama ni mwezi ujao sina uhakika,

ila kidogo tumeharibu jina letu kwenye kufuta safari hiyo ya LA, that is all I know, Texas na vimwana sijui?
 
Safari imekuwa ndefu au futari ya bongo haipatikani vizuri USA? jamaa anakosa mihogo ya nazi na samaki wa kupaka! :)
 
WaTz tunachekesha, yaani JK anaweza akafuta engagement ya muhimu namna hiyo? kwani safari haikupangwa kabla ya kuondoka? kuna mtu mmoja aliniambia to succeed "plan your work and then work your plan". Sasa kama ni kweli Bill Gates alishaonyesha interest ya bankroll ujenzi wa chuo kikuu Dodoma, can he really be neglected kwa kukosa muda, to that defies simple common sense!
 
mTz said:
WaTz tunachekesha, yaani JK anaweza akafuta engagement ya muhimu namna hiyo? kwani safari haikupangwa kabla ya kuondoka? kuna mtu mmoja aliniambia to succeed "plan your work and then work your plan". Sasa kama ni kweli Bill Gates alishaonyesha interest ya bankroll ujenzi wa chuo kikuu Dodoma, can he really be neglected kwa kukosa muda, to that defies simple common sense!

Nakuunga mkono,mTz.Pia licha ya ukweli kwamba "poor planning produces poor performance" viongozi wetu hawana hata huo muda wa kufanya poor planning.Wanakurupuka tu.
 
Nimesikia reliably kuwa anarudi US mwezi November. Malengo ya safari sijui. Mkira, karibu sana US yakhe na wewe ukajionee vinavyowavutia wengine.
 
Aidha mtu akienda USA ama Bungeni yaani Dodoma basi akili huwa kidogo zinahama .Mnakumbuka wabunge kabla huwa ni waelewa na wasikivu na wana plan njema wakisha kanyaga lile zulia lao basi wanasahau kila kitu . Sasa na US nako naona kuna mambo ya ajabu , mara watu waambie leteni maswali mapema , mara rais azidishe muda wa kukaa US nk . Kasi sana na ni kweli nina habari za ndani mno JK anarudi US date nitawapa kama Es hana angoje tutao sisi tulio karibu na JK
 
Mlalahoi
umefanya research haya maneno yako au bado uko kwenye kampeni ya mzee Mwandosya?
JK kaongea na dada na wewe umeongea na dada je kuna tofauti gani?
lakini JK anaruhusiwa kuoa wake watatu zaidi ya Salma vipi wewe maana tayari una familia na bado uko busy kuongea na akina dada na mimama ya London huku imani haikurusu kuwa na mke zaidi ya mmoja.
kasheshe hilo!
 
Mswahili take care bro!!!

Nimekusaoma mara kwa mara nimekuona wewe unatukana sana humu!

Je unataka matusi!!!?????????

Jerekebishe bwana UTANA HAPA!!!!!!!!!!!

TUNAKUOMBA UJIREKEBISHE HATUTAKI MATUSI HUMU!!!!!!!!!
 
Mara nyingi majina mengine huwa yanaendana na tabia ama akili ya mtu ama maisha yake .Huyu jamaa jina lake pekee mnaliona ni mswahil tu .Ndugu zanguni wa kunyumba tuendelee na mada kuu kwamba JK kakatalia US hadi sasa na bado anataka kurudi tena huko siku chache je anataka kuwa mmojwa wa watalawa wa US yaani gavana ama naye anatafuta mahala pa kukaa baada ua kustafu akiwa amesha tuuza ? Maana harakati zake si mchezo na matokeo mtayaona baadaye .
 
Tetesi ambazo hazijathibithishwa zinadai JK ana kimwana wa Kitanzania huko Houston...nadhani Jasusi unaweza kutoa data zaidi kama hii tetesi ni kweli au uzushi tu.

On a serious note,japo tunahitaji misaada ya wafadhili haina maana kila siku viongozi wetu wawe safarini kufuatilia misaada.Na angalau misafara hiyo ingekuwa ya watu wachache,inakuta ni lundo la watu.Wasiwasi wangu ni kwamba gaharama za ziara hizo zinaweza kuwa kubwa zaidi ya misaada inayofuatiliwa.
 
Mkuyuga na Timbwili
mimi sijamtukana mtu na wala sijamjibu vibaya mheshimiwa. lakini hajacomment kwenye maneno yake kwangu kule kwenye mada ya Mengi tizameni pande 2 za shiling? naomba pitieni
 
Mzee wangu Muggy,

Ukweli ni kwamba rais, yaani Head Of State wa nchi yoyote ni mtu mwenye shughuli nyingi sana, na pia ana maamuzi yake binafsi ambayo hachukui ushauri wa mtu yoyote,

Huu msafara ulikuwa ni pamoja na LA, kwenda kukutana na Bill Gates, katika kutafuta hela za chuo Dodoma, kule LA kuna waliokuwa wanaitayarisha hiyo safari, na imewagharimu dola 35,000, dakika ya mwisho rais aliamua kuahirisha safari hiyo, sasa ni lazima itayarishwe upya na nina wasi wasi kuwa itakuwa kama ilivyosemwa hapo juu, lakini kwa issues za kiusalama, ikishafahamika mapema hivi, basi ina maana hakuna safari!
 
Back
Top Bottom