Hii ni kweli au ni imani yetu tu? (wakubwa tu)

Hiyo ni kweli kiasi chake,kwani hupunguza msuguano ambao ndio huleta michubuko ambayo huruhusu virusi au bakteria.Maandalizi muhimu kabla ya mechi.
 
Isiwe sababu ,wala msiige.sio salama,ila kidunchu unaweza kuepuka kwa bahati tu,sasa kwanini uchezee maisha yako kamari kama kweli huna kichaa..kumbuka sio lazima michubuko tu.hata wingi wa hao wayahudi, katika eneo inachangia.kuna magonjwa yanayosababishwa na kutovaa buti kama ,herpes,human papillomavirus, kupata maambukizi kwa virus wapya ambao bado kujulikana.kupata maambukizi ya magonjwa ya zinaa stds nk.tukumbuke pia kwamba gonjwa hili bado ndo kwanza wataalamu wanalifanyia utafiti ,na kwahiyo bado kuna mengi ambayo tunasubiri kuyajua.kwa ujumla kila mtu ajue hakuna maisha mengine usipojitunza afya yako hapa duniani.utamu usikuponze,hata asali ni tamu
 
Hakuna cha mnato mnato wala fyaka fyaka...ukipona kwa hali zote,ujue ni huruma za mwenyezi mungu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom