mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Inasemekana mkulima au wakulima wawili wenyejinsia 2 tofauti....kama analima au wanalima bila kuvaa buti miguuni kwenye shamba la tope
la fwaka...fwaka...fwaka ni vigumu sana kupata ukimwi hata kama watalimana kwa saa moja au hata mawili. Na pia inasemekana kama wata
limana kwenye shamba la udongo mgumu uliokauka nato...nato...nato bila kuvaa buti ni rahisi sana kupata ukimwi hata kama watalimana
kwa dk 2 au hata dk 1. - Je, hii ni kweli au ni imani yetu tu?......
Haya wakubwa wote karibuni tuidadavue hii kitu....watoto wote mkacheze nje
la fwaka...fwaka...fwaka ni vigumu sana kupata ukimwi hata kama watalimana kwa saa moja au hata mawili. Na pia inasemekana kama wata
limana kwenye shamba la udongo mgumu uliokauka nato...nato...nato bila kuvaa buti ni rahisi sana kupata ukimwi hata kama watalimana
kwa dk 2 au hata dk 1. - Je, hii ni kweli au ni imani yetu tu?......
Haya wakubwa wote karibuni tuidadavue hii kitu....watoto wote mkacheze nje