The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,247
Someni, kuweni serious kwenye shule, mmepata fursa ya kuwa kwenye familia inayowasapot ipasavyo kwenye elimu halafu mnaleta upuuzi kwenye mambo muhimu. Tambueni wapo wengi wanaotamani kuwa kama nyie lakini hawawezi, inaniuma kuona mnafanya mambo ya ajabu ajabu wkt mna fursa nzuri ya kufanikiwa maishani.
Msipuuze ujumbe huu, hakika mtayakumbuka maneno yangu siku wazaz/walezi wenu watakapofariki dunia!
Kila la kheri!
Msipuuze ujumbe huu, hakika mtayakumbuka maneno yangu siku wazaz/walezi wenu watakapofariki dunia!
Kila la kheri!