DissDotCom
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 395
- 268
Habari wakuu..
Leo tuzungumzie swala la baadhi ya marafiki ambao ni maarufu kwa kutibua mipango, najua wengi limeshawatokea hususani kabla ya kuoa.
Hivi unakuta una promise na demu wako na anakuja lakini kuna rafiki yako ambaye atakuganda kila unapokwenda hata ukionesha wazi nia ya kumtoroka..!! Mara binti anakuja gheto na rafiki yako nae yupo nyuma haachi hata nafasi, harafu anaongea mazungumzo ambayo hayana hata tija.
Unazuga mwisho unamwambia akupishe uongee na shemeji yake hapo ndio anatoka kwa shingo upande, baada ya dk 15 anagonga mlango kwa fujo na kuita jina lako kwa aibu unatoka kisha anakuuliza kama una salio kwenye simu ampigie rafiki yake, unampa simu lakini yeye haondoki anarefusha maongezi mareeefu... mara anakuuliza bado tu....!
MARAFIKI HAWA SANASANA NILIKUTANA TABORA..SIJUI HUKU DAR KAMA WAPO?
Leo tuzungumzie swala la baadhi ya marafiki ambao ni maarufu kwa kutibua mipango, najua wengi limeshawatokea hususani kabla ya kuoa.
Hivi unakuta una promise na demu wako na anakuja lakini kuna rafiki yako ambaye atakuganda kila unapokwenda hata ukionesha wazi nia ya kumtoroka..!! Mara binti anakuja gheto na rafiki yako nae yupo nyuma haachi hata nafasi, harafu anaongea mazungumzo ambayo hayana hata tija.
Unazuga mwisho unamwambia akupishe uongee na shemeji yake hapo ndio anatoka kwa shingo upande, baada ya dk 15 anagonga mlango kwa fujo na kuita jina lako kwa aibu unatoka kisha anakuuliza kama una salio kwenye simu ampigie rafiki yake, unampa simu lakini yeye haondoki anarefusha maongezi mareeefu... mara anakuuliza bado tu....!
MARAFIKI HAWA SANASANA NILIKUTANA TABORA..SIJUI HUKU DAR KAMA WAPO?