mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,413
- 8,398
Ndugu zangu wana CHADEMA( nasisitiza ni chadema tu) matokeo ya Igunga yamenifanya nije na wazo. Huu si wakati wa sie kutulia na kuacha hili jambo linapita bila kulifanyia kazi.
Kifupi ushauri wangu harakati za chama ziendelee chini ya viongozi hapo wilayani kwa kuimarisha chama kama walivyoshauri watu wengi mikutano mijini na vijijini watu wapewe elimu ya uraia.
Kukubalika kwa CHADEMA kumenistua sana na hili jambo lisiachwe hivi hivi, mwalimu aendelee na mikutano ya kushukuru wananchi na kuendelea kuwapa taarifa wale 22000 na zaidi ambao hawaitaki CCM.
Wana CHADEMA tuwe tayari kusapport juhudi kama hizi. Maeneo mengine wameweza kwa kutumia michango toka kwa wanachama na changizo mbalimbali. Hili linawezekana wana CHADEMA tujitoe hata kwa mali ili ukombozi upatikane.
Naomba kuwasilisha
Kifupi ushauri wangu harakati za chama ziendelee chini ya viongozi hapo wilayani kwa kuimarisha chama kama walivyoshauri watu wengi mikutano mijini na vijijini watu wapewe elimu ya uraia.
Kukubalika kwa CHADEMA kumenistua sana na hili jambo lisiachwe hivi hivi, mwalimu aendelee na mikutano ya kushukuru wananchi na kuendelea kuwapa taarifa wale 22000 na zaidi ambao hawaitaki CCM.
Wana CHADEMA tuwe tayari kusapport juhudi kama hizi. Maeneo mengine wameweza kwa kutumia michango toka kwa wanachama na changizo mbalimbali. Hili linawezekana wana CHADEMA tujitoe hata kwa mali ili ukombozi upatikane.
Naomba kuwasilisha