Hii ni kwa wale tulioanza shule tukiwa hatujui kabisa kiswahili,

LA7

JF-Expert Member
Aug 26, 2019
434
1,565
nkukumbuka 2006 ndo naanza darasa la awali huku kati yetu wengi tukiwa hatujui kabisa kiswahili yaani zaidi ya ndiyo, hapana, naomba,

mpaka nafika darasa la pili nilikuwa napata sana shida maana nilikuwa nakubalika na vitoto vya kike vya walimu maana nilikuwa mtu wa hadithi nyingi ambazo tulisimuliwa na bibi yetu kwa kilugha sasa changamoto ilikuwa ni kuzigeuza ili nizihadithie kwa kiswhili, ilinitesa sana hii kitu maana vitoto vinapenda hadithi zangu kinoma ila ndo hivo kuna wakati niliwachanganyia kilugha japo vilikuwa vinaelewa kidogo

mpaka nilipofika darassa la sita nikiwa kama kiongozi wa darasa mwalimu alinipa bangili fulani mtu akiongea kilugha namvalisha na kumwandika jina baada ya kuvalisha watu kama watano wa sita mm mwenyewe maana baada ya kelele kuzidi darasani nilijikuta naropoka, legye kelele
 
Kuna mambo,
niliwai kwenda Kijiji Fulani ambacho dada angu first born wetu R.I.P alikua ni mwalimu pale....
So pale kijijini Mimi kufika pale ngeli Yao ni kisukuma kitupu....usafir mkuu ni baiskeli yaan Kule usukumani... Interior parts....
Jaman nilisemeshwaa kisukuma Mimi natoa macho tu..😊😊😊😃😃☺️😆😆
Wananishangaa kwanini siwez zungumza kisukuma...Eti najifanya siwezi kukizungumza....🤓🤓🤓
 
nkukumbuka 2006 ndo naanza darasa la awali huku kati yetu wengi tukiwa hatujui kabisa kiswahili yaani zaidi ya ndiyo, hapana, naomba,

mpaka nafika darasa la pili nilikuwa napata sana shida maana nilikuwa nakubalika na vitoto vya kike vya walimu maana nilikuwa mtu wa hadithi nyingi ambazo tulisimuliwa na bibi yetu kwa kilugha sasa changamoto ilikuwa ni kuzigeuza ili nizihadithie kwa kiswhili, ilinitesa sana hii kitu maana vitoto vinapenda hadithi zangu kinoma ila ndo hivo kuna wakati niliwachanganyia kilugha japo vilikuwa vinaelewa kidogo

mpaka nilipofika darassa la sita nikiwa kama kiongozi wa darasa mwalimu alinipa bangili fulani mtu akiongea kilugha namvalisha na kumwandika jina baada ya kuvalisha watu kama watano wa sita mm mwenyewe maana baada ya kelele kuzidi darasani nilijikuta naropoka, legye kelele
kwanza hatukuwa na chekechea kijijini kwetu
umenikumbusha mbali mkuu. niliugua tumbo la kuhara nikiwa la kwanza, kiswahili ndo najifunza mwaka 1980
nikataka kwenda kuomba ruhusa ikawa mtihani
nikakumbuka wale ambao walikuwa wakiulizwa jana ulikuwa wapi, walikuwa wakijibu , nilikuwa mgonjwa
kwahiyo nikajua kuumwa ni kuwa mgonjwa
nikamwendea mwalimu nikaomba ruhusa niende nyumbani , akaniuliza kufanya nini
jibu langu likawa, nilikuwa mgonjwa. mwalimu akanielewa baada ya kunihoji kwa kilugha
 
Kilugha kinatesa sana ila ukishajua lugha ya kiswahili unakuwa poa sana. Wengi tumepitia changamoto hiyo.
Ndiyo maana unakuta binti amezaliwa kijijini wazazi wake wakamuita KATALINA, akisoma tu shule akaelevuka anaanza kujiita CATHERINE na akifika chuo kikuu huko ndo anajiita CATTY na mwisho wa siku instagram anakuja kutamba kama "Official_catty".
Historia zetu zimebeba mengi kikubwa tuheshimiane na tuheshimu tulikotoka pamoja na jamii zilizotulea.
 
nkukumbuka 2006 ndo naanza darasa la awali huku kati yetu wengi tukiwa hatujui kabisa kiswahili yaani zaidi ya ndiyo, hapana, naomba,

mpaka nafika darasa la pili nilikuwa napata sana shida maana nilikuwa nakubalika na vitoto vya kike vya walimu maana nilikuwa mtu wa hadithi nyingi ambazo tulisimuliwa na bibi yetu kwa kilugha sasa changamoto ilikuwa ni kuzigeuza ili nizihadithie kwa kiswhili, ilinitesa sana hii kitu maana vitoto vinapenda hadithi zangu kinoma ila ndo hivo kuna wakati niliwachanganyia kilugha japo vilikuwa vinaelewa kidogo

mpaka nilipofika darassa la sita nikiwa kama kiongozi wa darasa mwalimu alinipa bangili fulani mtu akiongea kilugha namvalisha na kumwandika jina baada ya kuvalisha watu kama watano wa sita mm mwenyewe maana baada ya kelele kuzidi darasani nilijikuta naropoka, legye kelele
Kilugha ndiyo lugha gani hiyo sasa
 
Aisee huku kuna watoto wengi. 2006 ninajitegemea na nimemaliza masomo yote ya chuo kikuu
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom