Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Naanza kwa kutoa salamu kwa mabingwa wote wa maswali ya mitego
Hapo majuzi kuna jamaa yangu mmoja aliitwa kwenye usaili ili akipita aweze kuajiriwa katika kazi ya kuuza duka, katika huo usaili kwanza aliulizwa maswali kadhaa yanayohusu mahesabu ya pesa (pesa, gharama ya bidhaa na chenji nk) maswali ya aina hiyo yalikuwa 4, sasa swali la mwisho ndiyo naona kwake lilikuwa kimbembe.
Swali lenyewe ni hili:
"Amefika mteja mmoja dukani amehitaji soda na keki na umempatia na baada ya huyo mteja kumaliza kunywa kaaaga na kuondoka BILA KULIPA PESA, wewe kama muuzaji utachukua hatua gani?"
Wadau naomba jibu/majibu, Mimi nadhani hilo ni swali la mtego.
Hapo majuzi kuna jamaa yangu mmoja aliitwa kwenye usaili ili akipita aweze kuajiriwa katika kazi ya kuuza duka, katika huo usaili kwanza aliulizwa maswali kadhaa yanayohusu mahesabu ya pesa (pesa, gharama ya bidhaa na chenji nk) maswali ya aina hiyo yalikuwa 4, sasa swali la mwisho ndiyo naona kwake lilikuwa kimbembe.
Swali lenyewe ni hili:
"Amefika mteja mmoja dukani amehitaji soda na keki na umempatia na baada ya huyo mteja kumaliza kunywa kaaaga na kuondoka BILA KULIPA PESA, wewe kama muuzaji utachukua hatua gani?"
Wadau naomba jibu/majibu, Mimi nadhani hilo ni swali la mtego.