hakuna haja ya kuzungumza naye kwa kuwa ni chizi huyu huvi wa wapi huyu? amekashfu CCM, Amekashfu Bunge ?amekashfu Serikali?
Huyu ni msukuma aliyeolewa huko Dole Zanzibar.
hakuna haja ya kuzungumza naye kwa kuwa ni chizi huyu huvi wa wapi huyu? amekashfu CCM, Amekashfu Bunge ?amekashfu Serikali?
Nimeshitushwa sana na kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa Bunge, Sylivester Mabumba aliyekuwa akiendesha Bunge jana jioni. Baada ya Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Stella Manyanya kuwatuhumu Chadema kwa kuchochea mgomo na kudai kwamba walihusika na kumteka na kumjeruhi Dk Ulimboka, Mbunge wa Ubungo (Chadema), alikuja juu baada ya kauli hiyo akimtaka Mwenyekiti amtake Manyanya kuthibitisha au kufuta kauli yake.
Katika suala ambalo liko wazi sana kwamba Manyanya hakupaswa kuwashutumu Chadema kwa namna hii, Mabumba alionyesha wazi kuendesha kikao kwa njia ambayo ni ya kishabiki, kibaguzi na kitoto pale alipomjibu Manyika yeye Mnyika ndiye athibitishe kwamba Chadema hakihusiki.
Mie si mwanachama wa chama chochote cha kisiasa, lakini kwa kweli nimekerwa mno na jibu hili la Mabumba. Huu ni ushabiki, ubaguzi na utoto ambao haustahili kabisa katika kiongozi wa Bunge letu. Mabumba anapaswa kukumbushwa kwamba hili Bunge ni la Watanzania. Viongozi wa Bunge wamekuwa wakiwadai wabunge wa upinzani kutoa ushahidi hata katika mambo ambayo eidha si ya msingi au yako wazi kabisa. Huu ni ukandamizaji dhahiri wa wawakilishi wa Watanzania ambao hata sisi tusio wanachama wa vyama vya siasa tunaona unatia kichefuchefu.
Niko tayari kumpa simu yangu Mabumba ili ikiwezekana tukutane ana kwa ana nimweleze dukuduku langu kwa jibu lake hili linaloonyesha upungufu mkubwa katika masuala ya uongozi wa Bunge. Kama kuna mtu mwenye email ya Mabumba aiweke hapa ili tulio na hasira na jambo hili tumwandikie kutoridhishwa kwetu na kile alichokifanya.
Nimeshitushwa sana na kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa Bunge, Sylivester Mabumba aliyekuwa akiendesha Bunge jana jioni. Baada ya Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Stella Manyanya kuwatuhumu Chadema kwa kuchochea mgomo na kudai kwamba walihusika na kumteka na kumjeruhi Dk Ulimboka, Mbunge wa Ubungo (Chadema), alikuja juu baada ya kauli hiyo akimtaka Mwenyekiti amtake Manyanya kuthibitisha au kufuta kauli yake.
Katika suala ambalo liko wazi sana kwamba Manyanya hakupaswa kuwashutumu Chadema kwa namna hii, Mabumba alionyesha wazi kuendesha kikao kwa njia ambayo ni ya kishabiki, kibaguzi na kitoto pale alipomjibu Manyika yeye Mnyika ndiye athibitishe kwamba Chadema hakihusiki.
Mie si mwanachama wa chama chochote cha kisiasa, lakini kwa kweli nimekerwa mno na jibu hili la Mabumba. Huu ni ushabiki, ubaguzi na utoto ambao haustahili kabisa katika kiongozi wa Bunge letu. Mabumba anapaswa kukumbushwa kwamba hili Bunge ni la Watanzania. Viongozi wa Bunge wamekuwa wakiwadai wabunge wa upinzani kutoa ushahidi hata katika mambo ambayo eidha si ya msingi au yako wazi kabisa. Huu ni ukandamizaji dhahiri wa wawakilishi wa Watanzania ambao hata sisi tusio wanachama wa vyama vya siasa tunaona unatia kichefuchefu.
Niko tayari kumpa simu yangu Mabumba ili ikiwezekana tukutane ana kwa ana nimweleze dukuduku langu kwa jibu lake hili linaloonyesha upungufu mkubwa katika masuala ya uongozi wa Bunge. Kama kuna mtu mwenye email ya Mabumba aiweke hapa ili tulio na hasira na jambo hili tumwandikie kutoridhishwa kwetu na kile alichokifanya.
Hao wenyeviti Bunge wanachaguliwaje?
Si kwamba wanapigiwa kura?