Hii ni ishara ya nini inasababishwa na nini? Solution yake nini?

Zogoo da khama

JF-Expert Member
May 20, 2013
622
582
Hii ni ishara ya nini inasababishwa na nini? Solution yake nini?
20190910_074802.jpeg
 
Hii ni ishara ya nini inasababishwa na nini? Solution yake nini? View attachment 1203255
ABS.... Antilock Brake System.
Hii ikiwaka ina maana gari lako lina hitilafu kwenye mfumo wa ABS...
Unaweza kuendelea kuliendesha gari lako bila shida isipokuwa ukiwa mwendo mkali ukafunga brake za ghafla, gari lako linaweza kuserereka kwa sababu brake zinajilock...
Kazi ya ABS ni kufanya brake isijilock wakati unasimama kwa ghafla...
Fanya scanning ya computer utapata majibu kuwa ni sensor ya ABS imekufa au la...

Hiyo taa nyinge ni ya Tyre pressure...angalia huenda kuna tairi ambalo upepo wake umepungua sana hivyo tairi hilo linabonyea sana na kufanya upande huo wa gari kuwa chini zaidi...
Jaza upepo kiwango kinachotakiwa hilo tatizo litakwisha.

Ulete mrejesho ili wengine pia wajifunze
 
ABS.... Antilock Brake System.
Hii ikiwaka ina maana gari lako lina hitilafu kwenye mfumo wa ABS...
Unaweza kuendelea kuliendesha gari lako bila shida isipokuwa ukiwa mwendo mkali ukafunga brake za ghafla, gari lako linaweza kuserereka kwa sababu brake zinajilock...
Kazi ya ABS ni kufanya brake isijilock wakati unaaimama kwa ghafla...
Fanya scanning ya computer utapata majibu kuwa ni sensor ya ABS imekufa au la...

Hiyo taa nyinge ni ya Tyre pressure...angalia huenda kuna tairi ambalo upepo wake umepungua sana hivyo tairi hilo linabonyea sana na kufanya upande huo wa gari kuwa chini zaidi...
Jaza upepo kiwango kinachotakiwa hilo tatizo litakwisha.

Ulete mrejesho ili wengine pia wajifunze
Asante kwa ufafanuzi mzuri
 
ABS.... Antilock Brake System.
Hii ikiwaka ina maana gari lako lina hitilafu kwenye mfumo wa ABS...
Unaweza kuendelea kuliendesha gari lako bila shida isipokuwa ukiwa mwendo mkali ukafunga brake za ghafla, gari lako linaweza kuserereka kwa sababu brake zinajilock...
Kazi ya ABS ni kufanya brake isijilock wakati unaaimama kwa ghafla...
Fanya scanning ya computer utapata majibu kuwa ni sensor ya ABS imekufa au la...

Hiyo taa nyinge ni ya Tyre pressure...angalia huenda kuna tairi ambalo upepo wake umepungua sana hivyo tairi hilo linabonyea sana na kufanya upande huo wa gari kuwa chini zaidi...
Jaza upepo kiwango kinachotakiwa hilo tatizo litakwisha.

Ulete mrejesho ili wengine pia wajifunze
Safi sana.
 
Kuhusu hiyo ABS cheki kama brake fluid ipo level, kisha cheki brake pads na mwisho cheku brake shoes. Kimoja wapo kati ya hivyo hupelekea ABS kuwaka kwakuwa vinahusiana na mfumo mzima wa brake. Ikiwa kuna kimoja wapo hakipo sawa, rekebisha na hiyo taa itajizima. Au pengine handbrake/brake pedal lever imelegea. Tofauti na hapo, angalia ABS sensor hapo kwenye tairi za mbele huenda ipo covered na plastic au oil au tope zito hivyo sumaku yaje haifanyi kazi vizuri au imekatika.
Hiyo alama nyingine ni tairi ambalo halina upepo wa kutosha
 
Hii ni ishara ya nini inasababishwa na nini? Solution yake nini? View attachment 1203255
Ikiwa sensor za kwenye miguu zipo vizur na shanga zipo bac bila kupepesa macho shidahapo ni mtungi wa Abs umezingua, upo mbele na unapaip km 6 hv za break, ukibadili huo hilo tatizo litaisha, na inauzwa kuanzia laki na 40 kushuka chini, hyo kesi nilikuwa nayo na imeisha baada ya kubadili hyo spare
 
Ikiwa sensor za kwenye miguu zipo vizur na shanga zipo bac bila kupepesa macho shidahapo ni mtungi wa Abs umezingua, upo mbele na unapaip km 6 hv za break, ukibadili huo hilo tatizo litaisha, na inauzwa kuanzia laki na 40 kushuka chini, hyo kesi nilikuwa nayo na imeisha baada ya kubadili hyo spare
Na hyo mia 40 ni kwa hz gar ndogo ndogo km vle Allex na nyingine nyingi za jamii hizo
 
Kwenye magari yetu ya zamani, fundi akibadili brake shoe au pads akasahau kurudishia wire wa ABS, taa kama hiyo ilikuwa inawaka, mpaka wire urudishwe ndiyo taa inazima.
 
Back
Top Bottom