Hii ni HATARI kwa CHADEMA!

Mzee

JF-Expert Member
Feb 2, 2011
13,585
5,758
Nimekuwa nafatilia post nyingi, na pia nimejaribu kuzungumza na watu kadhaa wanaonizunguka, kuanzia ofisini mpaka mtaani.
Nilichojifunza ni kwamba, unapojaribu kukikosoa Chadema unaonekana kama umetenda dhambi.

Unapojaribu kumkosoa Mbowe, Slaa n.k unaonekana we si mzalendo wa nchi hii. Inaonekana kama wazalendo wote wanakisifia Chadema.
Chadema kama chama kinaongozwa na binadamu kama wa ccm. Wanamapungufu yao pia kama waliyonayo ccm.
Kama unaogopa kukosolewa na kurekebishwa kamwe hautojifunza. Chadema tubadilike, tukubali kurekebishwa. "when think alike, no one is thinking"


NB. Nipo tayari kurekebishwa.
 
Chadema tubadilike, tukubali kurekebishwa.
Aaah, kumbe na wewe ni Chadema?
 
Hatuhitaji kukurekebisha sana ni kukujulisha kwamba, tumenyanyaswa kwa muda mrefu na CCM , tumedhalilishwa sana na CCM, tumeibiwa sana na CCM, tumefungwa sana na CCM na sasa tumepata mkombozi wa kutpeleka nchi ya ahadi TANGANYIKA.

CDM ndiyo musa wetu wa kuttoa Misri na kutupeleka Nchi ya ahadi yenye Madini na ardhi yenye rutuba , nchi yenye mbuga za wanyama wa kila aina na nchi ya watu wakalimu.
 
Hatuhitaji kukurekebisha sana ni kukujulisha kwamba, tumenyanyaswa kwa muda mrefu na CCM , tumedhalilishwa sana na CCM, tumeibiwa sana na CCM, tumefungwa sana na CCM na sasa tumepata mkombozi wa kutpeleka nchi ya ahadi TANGANYIKA. CDM ndiyo musa wetu wa kuttoa Misri na kutupeleka Nchi ya ahadi yenye Madini na ardhi yenye rutuba , nchi yenye mbuga za wanyama wa kila aina na nchi ya watu wakalimu.

Umenena Mkuu !
 
Ina tegemea unakosoa nini, wakati gani na kwa kutumia lugha na maneno ya namna gani, hakuna mtu ambaye hapendi kupata ushauri ila ukiingia na abusing words my friend lazima watu wakushughulikie masaburi.
 
Acha kujihisi mnyonge kwa Wana-CHADEMA na kuanza kuzungura ovyo mbuyu bila kueleweka hata nukta kwenye huu uzi wako. Kama vipi wewe katambae tu na CCM yako ya siku zote inayokumegea ufisadi siku zote nchini.

Nimekuwa nafatilia post nyingi, na pia nimejaribu kuzungumza na watu kadhaa wanaonizunguka, kuanzia ofisini mpaka mtaani.
Nilichojifunza ni kwamba, unapojaribu kukikosoa Chadema unaonekana kama umetenda dhambi.
Unapojaribu kumkosoa Mbowe, Slaa n.k unaonekana we si mzalendo wa nchi hii. Inaonekana kama wazalendo wote wanakisifia Chadema.
Chadema kama chama kinaongozwa na binadamu kama wa ccm. Wanamapungufu yao pia kama waliyonayo ccm.
Kama unaogopa kukosolewa na kurekebishwa kamwe hautojifunza.
Chadema tubadilike, tukubali kurekebishwa.
"when think alike, no one is thinking"


NB. Nipo tayari kurekebishwa.
 
Nimekuwa nafatilia post nyingi, na pia nimejaribu kuzungumza na watu kadhaa wanaonizunguka, kuanzia ofisini mpaka mtaani.
Nilichojifunza ni kwamba, unapojaribu kukikosoa Chadema unaonekana kama umetenda dhambi.
Unapojaribu kumkosoa Mbowe, Slaa n.k unaonekana we si mzalendo wa nchi hii. Inaonekana kama wazalendo wote wanakisifia Chadema.
Chadema kama chama kinaongozwa na binadamu kama wa ccm. Wanamapungufu yao pia kama waliyonayo ccm.
Kama unaogopa kukosolewa na kurekebishwa kamwe hautojifunza.
Chadema tubadilike, tukubali kurekebishwa.
"when think alike, no one is thinking"


NB. Nipo tayari kurekebishwa.


Hebu tuorodheshee mapungufu unayodhani niya CHADEMA, Slaa na Mbowe nasi tuone kama ukosoaji wako uko sahihi au la. Pia kama watu kadhaa wanaokuzunguka (sijui idadi ila kama ni wengi) wanapingana nawewe unaweza ukajitathimini mwenyewe labda fasfri yako ya mapungufu ya CHADEMA si sahihi
 
Kwa kweli mimi namuunga mkono Lu-ma-ga kuwa CCM wametunyanyasa vya kutosha, inabidi waachie ngazi wapishe wengine watuongoze, ukiangalia mafisadi, wa mali za watanzania wote wametokea CCM, hivi watatunyonya hivi hadi lini? Hata hayati baba wa Taifa leo angepata fursa ya kuamka kutoka mautini na kuiona Tanzania nahisi angetokwa na machozi. Viongozi hawatujali sisi watanzania, wanajali maslahi yao na familia zao. Tutakuwa WADANGANYIKA mpaka lini? :sleepy:
 
ina tegemea unakosoa nini, wakati gani na kwa kutumia lugha na maneno ya namna gani, hakuna mtu ambaye hapendi kupata ushauri ila ukiingia na abusing words my friend lazima watu wakushughulikie masaburi.


Umesema vyema sana mkuu na mie naongezea kwamba hawa wanaokuwa wakali si wote ni wanachama wa Chadema wala wapenzi wa Chadema ila ni Watanzania wanaopenda mabadiliko kaka na wala si viongozi wa Chadema so usiseme Chadema hawapendi.Zingatia mno ushauri wa huyu Mwamba FUSO.
 
Hatuhitaji kukurekebisha sana ni kukujulisha kwamba, tumenyanyaswa kwa muda mrefu na CCM , tumedhalilishwa sana na CCM, tumeibiwa sana na CCM, tumefungwa sana na CCM na sasa tumepata mkombozi wa kutpeleka nchi ya ahadi TANGANYIKA. CDM ndiyo musa wetu wa kuttoa Misri na kutupeleka Nchi ya ahadi yenye Madini na ardhi yenye rutuba , nchi yenye mbuga za wanyama wa kila aina na nchi ya watu wakalimu.
Mkuu tupopamoja, big up.
 
Walio2mwa humu hutaacha kuwatambua mapema ktk thread zao. Endeleeni tu na bila mwisho wenu si mbali hata kidogo.
 
Mkuu, CHADEMA hakitaki kukosolewa/kubadilika au washabiki ndani ya mitandao ambao hawataki kukubali mawazo ya watu wanaofikiri kwamba CHADEMA inahitaji mabadiliko?

Sasa mkuu, hebu tuambie, kuna watu walikuja na mapendekezi kwamba Mbowe hawezi kuwa Mwenyekitii, je, utaratiu gani utumike kumuondoa? n je aondolewe kwa sababu gani? inatosha mtu mmoja 'kufikiri' kwamba Mbowe hafai? Inatosha mnazi mmoja wa 'Zitto' kuamua kwamba Slaa hafai kuwa Katibu??

Siasa sio rahisi kama inavyoonekana mkuu.
 
Hebu tuorodheshee mapungufu unayodhani niya CHADEMA, Slaa na Mbowe nasi tuone kama ukosoaji wako uko sahihi au la. Pia kama watu kadhaa wanaokuzunguka (sijui idadi ila kama ni wengi) wanapingana nawewe unaweza ukajitathimini mwenyewe labda fasfri yako ya mapungufu ya CHADEMA si sahihi
Ngoja nami nijaribu kuorodhesha mapungufu ya CHADEMA yetu:
-Mtandao hafifu wa kichama.
-Mashabiki wengi kuliko wanachama ambao hata kadi za kupiga kura hawana.
-Wanachama wenye jazba, hasira na munkar kupita kiasi. Hijab ya yule DC Fatma imewagharimu kura nyingi tu.
-Mawakala wa kukodi wa nini? Kura zinapigwa na wanaIgunga. CHADEMA haiwaamini hawa.
-Hawakuwaambia wanaIgunga kilichosababisha uchaguzi ule mdogo kuwa ni CCM na magamba yake.
-CHADEMA na Viongozi wake kung'ang'ania agenda zilezile kila mahala.
-CHADEMA haijajitofautisha na CCM kwa mambo mengi tu.
 
Hatuhitaji kukurekebisha sana ni kukujulisha kwamba, tumenyanyaswa kwa muda mrefu na CCM , tumedhalilishwa sana na CCM, tumeibiwa sana na CCM, tumefungwa sana na CCM na sasa tumepata mkombozi wa kutpeleka nchi ya ahadi TANGANYIKA. CDM ndiyo musa wetu wa kuttoa Misri na kutupeleka Nchi ya ahadi yenye Madini na ardhi yenye rutuba , nchi yenye mbuga za wanyama wa kila aina na nchi ya watu wakalimu.
Kwa kuongezea nchi isiyokuwa na wezi, corruption free state. Kenya wanaelekea huko Tanzania tunahitaji kuiga na kujifunza !!!!!! Kuna watu nawachukia ambao wanasema kuwa rushwa haiwezi kuisha Tanzania!!!! Watu hao nadhani ni mawakala wa CCM wajue kabisa zao zimefika, kila aliye dhulumu au kuiba mali ya nchi hii, atairudisha na riba au ataozea magereza!!!!!!!!! Huo ni ujumbe tunawapa mawakala wa CCM naona ni wengi hapa jamvini!!!!!!!!!!!
 
Nimekuwa nafatilia post nyingi, na pia nimejaribu kuzungumza na watu kadhaa wanaonizunguka, kuanzia ofisini mpaka mtaani.
Nilichojifunza ni kwamba, unapojaribu kukikosoa Chadema unaonekana kama umetenda dhambi.
Unapojaribu kumkosoa Mbowe, Slaa n.k unaonekana we si mzalendo wa nchi hii. Inaonekana kama wazalendo wote wanakisifia Chadema.
Chadema kama chama kinaongozwa na binadamu kama wa ccm. Wanamapungufu yao pia kama waliyonayo ccm.
Kama unaogopa kukosolewa na kurekebishwa kamwe hautojifunza.
Chadema tubadilike, tukubali kurekebishwa.
"when think alike, no one is thinking"


NB. Nipo tayari kurekebishwa.

Inashangaza kuwa wewe upo tayari kurekebishwa lakini unaone kuwa wale wanaowakosoa Chadema wanaporekebishwa hilo ni kosa. naamini kuwa kila mtu anayetoa maoni, ana haki ya kufanya hivyo na ni wajibu wake kujenga hoja ili maoni yake yaonekane kuwa yana mashiko. Mkuu, nadhani unafahamu kwua hii si dunia ya ndio m\ee, hivyo, kama unataka kumkosoa mtu, lazima uwe na hija zenye mashiko ili uaminike kile unachokisema.

Sitetei kwua Chadema au viongozi wake hawapaswi kukosolewa, lakini anayetaka kufanya hivyo awe na hoja zente mashiko. kama ikitiokea mtu anatoa hoja zenye mashiko halafy anabishiwa tu kwa sababu mtu amezoea kubisha, basi ni kweli huyo anayebisha atakuwa ana matatizo. Na hiyo si katika kuikosoa Chadema tu, ni katika kila jambo. kama unataka kukosoa jenga hoja
 
Nimekuwa nafatilia post nyingi, na pia nimejaribu kuzungumza na watu kadhaa wanaonizunguka, kuanzia ofisini mpaka mtaani.
Nilichojifunza ni kwamba, unapojaribu kukikosoa Chadema unaonekana kama umetenda dhambi.
Unapojaribu kumkosoa Mbowe, Slaa n.k unaonekana we si mzalendo wa nchi hii. Inaonekana kama wazalendo wote wanakisifia Chadema.
Chadema kama chama kinaongozwa na binadamu kama wa ccm. Wanamapungufu yao pia kama waliyonayo ccm.
Kama unaogopa kukosolewa na kurekebishwa kamwe hautojifunza.
Chadema tubadilike, tukubali kurekebishwa.
"when think alike, no one is thinking"
NB. Nipo tayari kurekebishwa.

ujue viongozi wa chadema ni wasikivu pia wanakubali kurekebishwa,angalia Zitto kipindi fulani alionekana kwenda kinyume na mtazamo na maazimio ya chama lakini kutokana na ushauri ndani na nje ya chama kijana amebadilika na kuwa jembe kali bungeni na kila pahali,kila sehemu ukimtaja Zito watu wanajua umemtaja mtetezi wa wanyonge,lakini nyie mnayeleta majungu ya kukiua chama kwa kigezo cha ushauri hilo haliwezekani.
 
Hatuhitaji kukurekebisha sana ni kukujulisha kwamba, tumenyanyaswa kwa muda mrefu na CCM , tumedhalilishwa sana na CCM, tumeibiwa sana na CCM, tumefungwa sana na CCM na sasa tumepata mkombozi wa kutpeleka nchi ya ahadi TANGANYIKA. CDM ndiyo musa wetu wa kuttoa Misri na kutupeleka Nchi ya ahadi yenye Madini na ardhi yenye rutuba , nchi yenye mbuga za wanyama wa kila aina na nchi ya watu wakalimu.

Ambayo ni Tanganyika ya kweli!good
 
Mtu unazungumza kama vile kila mmoja anajua CDM wanahitaji mabadiliko gani. Kinachokuzua kusema hayo mabadiliko ni nini? Your subconscious tells you that CDM is wrong somewhere because of the long time magamba picture in your forehead. Remove that magamba picture first then insert CDM picture and come out with constructive suggestion as to what should be done , where and when, otherwise everyone can bilker in this forum as much as she/he can manage with no impact at all.
 
Nimekuwa nafatilia post nyingi, na pia nimejaribu kuzungumza na watu kadhaa wanaonizunguka, kuanzia ofisini mpaka mtaani.
Nilichojifunza ni kwamba, unapojaribu kukikosoa Chadema unaonekana kama umetenda dhambi.
Unapojaribu kumkosoa Mbowe, Slaa n.k unaonekana we si mzalendo wa nchi hii. Inaonekana kama wazalendo wote wanakisifia Chadema.
Chadema kama chama kinaongozwa na binadamu kama wa ccm. Wanamapungufu yao pia kama waliyonayo ccm.
Kama unaogopa kukosolewa na kurekebishwa kamwe hautojifunza.
Chadema tubadilike, tukubali kurekebishwa.
"when think alike, no one is thinking"


NB. Nipo tayari kurekebishwa.

Weka hapa iyo kitu yako unayoona imekosewa.
 
Hatuhitaji kukurekebisha sana ni kukujulisha kwamba, tumenyanyaswa kwa muda mrefu na CCM , tumedhalilishwa sana na CCM, tumeibiwa sana na CCM, tumefungwa sana na CCM na sasa tumepata mkombozi wa kutpeleka nchi ya ahadi TANGANYIKA. CDM ndiyo musa wetu wa kuttoa Misri na kutupeleka Nchi ya ahadi yenye Madini na ardhi yenye rutuba , nchi yenye mbuga za wanyama wa kila aina na nchi ya watu wakalimu.

I hope that this is understood by one and all.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom