Hii ni halali kweli je we ishawahi kukutokea?

Maty

JF-Expert Member
Aug 24, 2010
2,167
725
Yaliyojiri sikukuu ya idd B/F akamualika G/F aende kwake kumtembelea gf akaenda baada ya muda bf akaaga naenda mjini mara moja halafu akatoa mzigo akamwambia usitoke kuna rafiki yangu atafuata huu mzigo ni wa muhimu dada akasubiri subiri na wewe ikafika ucku saa mbili ikabidi aukague huo mzigo akakuta ni machuma na matambara hakuna cha maana alinunaje? Bwana akajirudia saa 6 uck mwenzie ashalala? wakina kaka mwafanyaga hii hv ni halali kweli?
 
Yaliyojiri sikukuu ya idd B/F akamualika G/F aende kwake kumtembelea gf akaenda baada ya muda bf akaaga naenda mjini mara moja halafu akatoa mzigo akamwambia usitoke kuna rafiki yangu atafuata huu mzigo ni wa muhimu dada akasubiri subiri na wewe ikafika ucku saa mbili ikabidi aukague huo mzigo akakuta ni machuma na matambara hakuna cha maana alinunaje? Bwana akajirudia saa 6 uck mwenzie ashalala? wakina kaka mwafanyaga hii hv ni halali kweli?

Hapo alikuwa anamprotect huyo dada asitoke sikukuu hana lolote. Sasa huo mzigo alivyorudi aliuchukua yeye au huyo rafiki yake?
 
Pole sana Maty...achana nae huyo bana mzugaji hana hata huruma...
 
Yaliyojiri sikukuu ya idd B/F akamualika G/F aende kwake kumtembelea gf akaenda baada ya muda bf akaaga naenda mjini mara moja halafu akatoa mzigo akamwambia usitoke kuna rafiki yangu atafuata huu mzigo ni wa muhimu dada akasubiri subiri na wewe ikafika ucku saa mbili ikabidi aukague huo mzigo akakuta ni machuma na matambara hakuna cha maana alinunaje? Bwana akajirudia saa 6 uck mwenzie ashalala? wakina kaka mwafanyaga hii hv ni halali kweli?

mpe pole huyo bibie, ila hamna kitu kinachokera kama mwenzio kukugeuza pimbi, yaani huna akili, c bora angemwambia tu uciondoke nisubiri nakuja
 
Mama yangu (We Babu Asprin kasema ulintelekezaga nikiwa kichanga......nimekununiaje?)

Umenikumbusha rafiki yangu alikuwaga na ile stac nataka kwa mkaka mmoja ambaye alimfuatiliaga sana masikini. Siku moja kaomba kumtoa out wakenda mziki kwa sana hadi saa tisa usiku. Mkaka akamrudisha dada hostel mara dada haoni ufunguo wa chumba chake. Kaka kamsaidia kutafuta tena akasajesti amsaidie kuvunja na mlango mdada akawa anaogopa atajielezaje kwa matron. Ikabidi mkaka ashauri wakalale kwake (Kaka alikuwa amepanga nyumba mtaani). Kulichojiri huko hatujui ila asubuhi walikuja wakavunja mlango na kubadili kitasa. After a year wameoana mkaka akautoa ule ufunguo uliopoteaga.....................ni historia kwa kweli but now they are happly married .
 
dah maty..skukuuu niaje kwanza
pole kwa matukio
apo dada amwulize kaka kwa upole kisa kizima cha tukio...lakin kwa araka araka kaka alienda kuparty na mwingne ukoo..
amwulize anamchukuliaje +anamwonaje
--asije AKAWA ANACHUNGA NYUMBA NA MAMA VANESSA!!!!!
 
Mama yangu (We Babu Asprin kasema ulintelekezaga nikiwa kichanga......nimekununiaje?)

Umenikumbusha rafiki yangu alikuwaga na ile stac nataka kwa mkaka mmoja ambaye alimfuatiliaga sana masikini. Siku moja kaomba kumtoa out wakenda mziki kwa sana hadi saa tisa usiku. Mkaka akamrudisha dada hostel mara dada haoni ufunguo wa chumba chake. Kaka kamsaidia kutafuta tena akasajesti amsaidie kuvunja na mlango mdada akawa anaogopa atajielezaje kwa matron. Ikabidi mkaka ashauri wakalale kwake (Kaka alikuwa amepanga nyumba mtaani). Kulichojiri huko hatujui ila asubuhi walikuja wakavunja mlango na kubadili kitasa. After a year wameoana mkaka akautoa ule ufunguo uliopoteaga.....................ni historia kwa kweli but now they are happly married .

HA HA HA Hii kali sana
 
Yaliyojiri sikukuu ya idd B/F akamualika G/F aende kwake kumtembelea gf akaenda baada ya muda bf akaaga naenda mjini mara moja halafu akatoa mzigo akamwambia usitoke kuna rafiki yangu atafuata huu mzigo ni wa muhimu dada akasubiri subiri na wewe ikafika ucku saa mbili ikabidi aukague huo mzigo akakuta ni machuma na matambara hakuna cha maana alinunaje? Bwana akajirudia saa 6 uck mwenzie ashalala? wakina kaka mwafanyaga hii hv ni halali kweli?

Pole sana kumbe idd haikukuendea vyema
Ukakesha na machuma na matambara
 
Mama yangu (We Babu Asprin kasema ulintelekezaga nikiwa kichanga......nimekununiaje?)

Umenikumbusha rafiki yangu alikuwaga na ile stac nataka kwa mkaka mmoja ambaye alimfuatiliaga sana masikini. Siku moja kaomba kumtoa out wakenda mziki kwa sana hadi saa tisa usiku. Mkaka akamrudisha dada hostel mara dada haoni ufunguo wa chumba chake. Kaka kamsaidia kutafuta tena akasajesti amsaidie kuvunja na mlango mdada akawa anaogopa atajielezaje kwa matron. Ikabidi mkaka ashauri wakalale kwake (Kaka alikuwa amepanga nyumba mtaani). Kulichojiri huko hatujui ila asubuhi walikuja wakavunja mlango na kubadili kitasa. After a year wameoana mkaka akautoa ule ufunguo uliopoteaga.....................ni historia kwa kweli but now they are happly married .

Dada hujambo? kumbe ahadi zako ni za kweli tena kweli kabisa cha kunitia hamu ya kusubiri? Faini yako ni kunionjesha babu kidogo
 
dah maty..skukuuu niaje kwanza
pole kwa matukio
apo dada amwulize kaka kwa upole kisa kizima cha tukio...lakin kwa araka araka kaka alienda kuparty na mwingne ukoo..
amwulize anamchukuliaje +anamwonaje
--asije AKAWA ANACHUNGA NYUMBA NA MAMA VANESSA!!!!!


Ndiiiooooo:smile-big::smile-big:
 
sasa alinialika nije nimchungie rafiki atakaekuja kuchukua mzigo? kwnini anielike then yeye atoke?...
 
dah maty..skukuuu niaje kwanza
pole kwa matukio
apo dada amwulize kaka kwa upole kisa kizima cha tukio...lakin kwa araka araka kaka alienda kuparty na mwingne ukoo..
amwulize anamchukuliaje +anamwonaje
--asije AKAWA ANACHUNGA NYUMBA NA MAMA VANESSA!!!!!


akitaka drama aulize hayo,ataambiwa mambo ambayo hajawahi kuyackia toka azaliwe...atapumbazika mwisho wa cku matatizo matupu, atumie akili zake za ziada.
 
sasa alinialika nije nimchungie rafiki atakaekuja kuchukua mzigo? kwnini anielike then yeye atoke?...

Alikualika kwa kuwa ilibidi aonyeshe kuwa anakujali na daima mpo pamoja na hasa katika siku kama hizo za sikukuu!lakini kumbe alikuwa na miadi na kipusa kingine hivyo alienda kukata kiu yake akijua wewe upo katika safe hands, na atakukuta tu home!!!!!!
 
Dada hujambo? kumbe ahadi zako ni za kweli tena kweli kabisa cha kunitia hamu ya kusubiri? Faini yako ni kunionjesha babu kidogo
jamani mie nlikuwa nasubiri niambiwe eneo la tukio wapi..............ukanchunia mie mwenyewe nlikuwa na hamu ya kukuona acha tu..........

Saaaasaaaa..........kukuonjesha Babu dah..............Babu yupi sasa maana nshaambiwa hapa JF kote wote ni kina Babu...........
 
Mama yangu (We Babu Asprin kasema ulintelekezaga nikiwa kichanga......nimekununiaje?)

Umenikumbusha rafiki yangu alikuwaga na ile stac nataka kwa mkaka mmoja ambaye alimfuatiliaga sana masikini. Siku moja kaomba kumtoa out wakenda mziki kwa sana hadi saa tisa usiku. Mkaka akamrudisha dada hostel mara dada haoni ufunguo wa chumba chake. Kaka kamsaidia kutafuta tena akasajesti amsaidie kuvunja na mlango mdada akawa anaogopa atajielezaje kwa matron. Ikabidi mkaka ashauri wakalale kwake (Kaka alikuwa amepanga nyumba mtaani). Kulichojiri huko hatujui ila asubuhi walikuja wakavunja mlango na kubadili kitasa. After a year wameoana mkaka akautoa ule ufunguo uliopoteaga.....................ni historia kwa kweli but now they are happly married .

hahahaaa jamani watu wana visa lol, mwanangu babu yako nilimwambia naenda tafuta maisha akaniambia nikuache umsaidie kukata majani ya ng'ombe na mi nikashukuru ila ndio nimerudi c nimesikia mwanangu una kazi nzuri na mi maisha yashaninishinda
 
akitaka drama aulize hayo,ataambiwa mambo ambayo hajawahi kuyackia toka azaliwe...atapumbazika mwisho wa cku matatizo matupu, atumie akili zake za ziada.

Nyamayao umenichekeshaje mwe! kwa hiyo huyo dada asimuulize maana anasema kwa hasira alizokuwa nazo aliamua kukaa kimya acje ongea yasiyoongeleka. Jamaa kurudi akashika laptop mpaka saa nane ndio kalala madai alikua kwa ofc watu wanavituko humu duniani
 
dah maty..skukuuu niaje kwanza
pole kwa matukio
apo dada amwulize kaka kwa upole kisa kizima cha tukio...lakin kwa araka araka kaka alienda kuparty na mwingne ukoo..
amwulize anamchukuliaje +anamwonaje
--asije AKAWA ANACHUNGA NYUMBA NA MAMA VANESSA!!!!!

Rose ana hamu hata ya kumuuliza kaja kajifanya kachoka mana hanywi pombe na laptop anaendelea kujifanya/sijui kweli anaendelea na kazi m2 kama huyo utaanzaje kumuuliza?
 
Mama yangu (We Babu Asprin kasema ulintelekezaga nikiwa kichanga......nimekununiaje?)

Umenikumbusha rafiki yangu alikuwaga na ile stac nataka kwa mkaka mmoja ambaye alimfuatiliaga sana masikini. Siku moja kaomba kumtoa out wakenda mziki kwa sana hadi saa tisa usiku. Mkaka akamrudisha dada hostel mara dada haoni ufunguo wa chumba chake. Kaka kamsaidia kutafuta tena akasajesti amsaidie kuvunja na mlango mdada akawa anaogopa atajielezaje kwa matron. Ikabidi mkaka ashauri wakalale kwake (Kaka alikuwa amepanga nyumba mtaani). Kulichojiri huko hatujui ila asubuhi walikuja wakavunja mlango na kubadili kitasa. After a year wameoana mkaka akautoa ule ufunguo uliopoteaga.....................ni historia kwa kweli but now they are happly married .
Strategy hii imeenda shule kweli.....!
 
we Maty huna adabu, kwanini ukafungua mzigo usio wako.....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom