Hii ni halali kweli je we ishawahi kukutokea?

Yaliyojiri sikukuu ya idd B/F akamualika G/F aende kwake kumtembelea gf akaenda baada ya muda bf akaaga naenda mjini mara moja halafu akatoa mzigo akamwambia usitoke kuna rafiki yangu atafuata huu mzigo ni wa muhimu dada akasubiri subiri na wewe ikafika ucku saa mbili ikabidi aukague huo mzigo akakuta ni machuma na matambara hakuna cha maana alinunaje? Bwana akajirudia saa 6 uck mwenzie ashalala? wakina kaka mwafanyaga hii hv ni halali kweli?

Hahahaha hii ni halali si unalinda nyumba
 
we Maty huna adabu, kwanini ukafungua mzigo usio wako.....

Hahaha nisamehe bure gy unajua ndio tabia yake akitaka uctoke utaachiwa mzigo fulani anakuja kuchukua sasa ikabidi cku hiyo ufunguliwe kwan hk nini mbona hakifuatwi ile kufungua lol salaleeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hahaha nisamehe bure gy unajua ndio tabia yake akitaka uctoke utaachiwa mzigo fulani anakuja kuchukua sasa ikabidi cku hiyo ufunguliwe kwan hk nini mbona hakifuatwi ile kufungua lol salaleeeeeeeeeeeeeeeee

Ntakusamehe ikiwa hii issue hautai-mind....so kosa sio matambara, kosa ni kufungua mzigo usio wako!
 
Ntakusamehe ikiwa hii issue hautai-mind....so kosa sio matambara, kosa ni kufungua mzigo usio wako!

hata kama c wangu kila siku unasingizia kuna mtu atakuja chukua halafu haji na ni mzigo huo huo ila c nimefungua we hujaona jamani?
 
sasa alinialika nije nimchungie rafiki atakaekuja kuchukua mzigo? kwnini anielike then yeye atoke?...

Huyo mkaka alitaka huyo dada abaki nyumbani kwake yeye akienda misele yake, si unajua sikukuu wangeweza gongana kwenye misele
 
Rose ana hamu hata ya kumuuliza kaja kajifanya kachoka mana hanywi pombe na laptop anaendelea kujifanya/sijui kweli anaendelea na kazi m2 kama huyo utaanzaje kumuuliza?

anakuona crap full stop
km angekuwa na busara ata za panya angejifanya kuexplain ata km uongo lakin km amerud afu anakuchukulia poa 2 as is hakuna kilichotokea ahh apo lazima ujitazame mara 3
DZAIN MDADA NDYE ANABEMBELEZA MAPENZ KWA KAKA
kaka km angekuwa anampenda japo robo tu asingefanya madudu ayo
...yan ni nit iyo iyo kipoch changu kiko wap fasta sana ningerudisha majesh nilikotoka..na uo ndo ungekuwa mwanzo na mwsho...LAKIJN KWA APO MDADA ANAMPENDA KAKA ,WAKAT KAKA HANA HABAR NA ANA WAKE ANAYEMPENDA UKO...DADA atang'aa sana sharubu...mwambie afungue macho atazame thena chukue hatua b4 z too late...
ahh bibi weeeeeeeeee kesho mwaya ngoja nkapike kijiugal changu mie nijirambe....cu 2mrw sweeeeeet mumy!!!!!!!
 
hata kama c wangu kila siku unasingizia kuna mtu atakuja chukua halafu haji na ni mzigo huo huo ila c nimefungua we hujaona jamani?

Mi nilikuwa nakupima tu uaminifu wako...je ukiachiwa mzigo usio wako utaufungua ama?
 
Ntakusamehe ikiwa hii issue hautai-mind....so kosa sio matambara, kosa ni kufungua mzigo usio wako!

utanletea za rang gan?
under scotch law ipo leo?
mwambie roy nimemnunia kwa masaa 120 mpk atakaponiletea gaun la sikukuu!!!!!!!!
 
Yaliyojiri sikukuu ya idd B/F akamualika G/F aende kwake kumtembelea gf akaenda baada ya muda bf akaaga naenda mjini mara moja halafu akatoa mzigo akamwambia usitoke kuna rafiki yangu atafuata huu mzigo ni wa muhimu dada akasubiri subiri na wewe ikafika ucku saa mbili ikabidi aukague huo mzigo akakuta ni machuma na matambara hakuna cha maana alinunaje? Bwana akajirudia saa 6 uck mwenzie ashalala? wakina kaka mwafanyaga hii hv ni halali kweli?

strategy ya kiloko sana hii.. lol sasa leo idd pili atatumia ipi?
 
Mwanaume ameenda kutafuta kodi ya meza wewe nawe unataka muongozane mkitolewa balu huko utaweza kukimbia?

Hiyo kodi ya meza ambayo tunaweza tolewa balu anaenda iba au nae ni marioooo kwa mwenzangu huko akipata ndio tunakuja kula wote
 
Jana nilijikita uswazi sikukuu za Eid huwa zinanoga sana uswazi maana kuna kila aina ya vibwanga kuna kituko kimoja kilitokea sawa na anacho simulia Maty hapa kuna jamaa alikuja pap na mtoto akachukua room Guest karibu tu akazama ndani kudumisha mila jamaa sijui alipiga round ngapi akatoka na yule mchuchu yeye akakaa kaunta kunywa huku na huku akaimbisha dada mwingine pale pale akakubali akazama nae ndani pale pale sasa wakati anadumisha mila pale yule dada mwingine akawa amerudi na mfuko kumbe alienda kununua Zege sasa akawa anagonga mlango wa room lao walilo fikia na jamaa ake na jamaa ndani yupo na chombo kingine anadumisha mila dah kufungua ikawa kasheshe pale yule dada alie beba zege akamvamia dada alie kuwa ndani hali ya hewa ikachafuka eneo la tukio pale ikabidi Polisi waje kusaidia.
Kwa ishu kama hii yule dada wa pili alimwona kabisa jamaa kaingia kumega
 
Mi nilikuwa nakupima tu uaminifu wako...je ukiachiwa mzigo usio wako utaufungua ama?

Inategemea unaweza jikuta umeachiwa kadi na maua ya mwenzio kwa sababu huwa hujali anapitia mtu anampelekea we acha kabisa
 
Hiyo kodi ya meza ambayo tunaweza tolewa balu anaenda iba au nae ni marioooo kwa mwenzangu huko akipata ndio tunakuja kula wote

Utajuaje pesa anako pata labda kuna mama linamuhudumia ili mneemeke wote utajuaje uende ukatibue ili mkose wote?
 
utanletea za rang gan?
under scotch law ipo leo?
mwambie roy nimemnunia kwa masaa 120 mpk atakaponiletea gaun la sikukuu!!!!!!!!

Hahah...rose wauaaaa....we wataka za rangi gani

ama hakika hata kwa mchale ujumbe huo siwezi kuupeleka kwa St....sitaki kuwa sehemu ya :rip:
 
Inategemea unaweza jikuta umeachiwa kadi na maua ya mwenzio kwa sababu huwa hujali anapitia mtu anampelekea we acha kabisa

kadi na maua...that can never come from babu Apirin....hata Kimey hatoi kadi na maua...labda digi digi

Ivi Maty unakumbuka sheria namba tatu?
 
Utajuaje pesa anako pata labda kuna mama linamuhudumia ili mneemeke wote utajuaje uende ukatibue ili mkose wote?

hahahaaaaaaaaaa umenichekesha lol kwa hiyo ndio kaamua kwenda kuspend nalo sikukuu sa c angemuacha mwenzie akajichanganye na yeye
 
kadi na maua...that can never come from babu Apirin....hata Kimey hatoi kadi na maua...labda digi digi

Ivi Maty unakumbuka sheria namba tatu?

Kumbe babu analetaga nini? hiyo sheria namba tatu ndio ile inasema ukiona kizuri kifungie ule peke yako au
 
Back
Top Bottom