kwa hiyo siyo fumanizi la mke na mume wa mtu kama anavyodai mwanzisha mada ...?Hii picha ni ya siku nyiiingi..ili tukio lilitokea Southern Sun hotel Dar jirani na International House...kati ya Changudoa na Mwarabu baada ya Changu kutoridhishwa na malipo na kupambana na Mwarabu akiwa mtupu...
Hata kama lakini tendo la Polisi kumtembeza uchi barabara ni kumdhalilisha!
Hii picha ni ya siku nyiiingi..ili tukio lilitokea Southern Sun hotel Dar jirani na International House...kati ya Changudoa na Mwarabu baada ya Changu kutoridhishwa na malipo na kupambana na Mwarabu akiwa mtupu...
kwa hiyo siyo fumanizi la mke na mume wa mtu kama anavyodai mwanzisha mada ...?
Hata kama lakini tendo la Polisi kumtembeza uchi barabara ni kumdhalilisha!
Hata kama lakini tendo la Polisi kumtembeza uchi barabara ni kumdhalilisha!
Mi bwana naona mtu akishaamua kutoka nje ya mahusiano yake ameamua kujidhalilisha na kumdhalilisha mwenzi wake. Mwenzi akifumania na akasababisha hayo hapo juu kwa hasira i'll cut him/her some slack. . . ni sawa na wale wanaofikia kuua tu.
Ila bado ni udhalilishaji!!
utamdhalilishaje mwenzio unapotoka nje ya ndoa?
Si wote wanaotoka nje ya ndoa/mahusiano wanajidhalilisha, kuwadhalilisha wenzi au hata wazazi wao. Kutoka nje ya ndoa ni maamuzi binafsi kama vile ambavyo mtu anaamua kuolewa au kuwa na uhusiano wa kimapenzi kwa ujumla.
Kusema kuwa ni kudhalilisha na sawa na kujibinafsisha ukubwani kwa mtu asiyejua unapotaka, asiyekuelewa na asitake kufanya bidii ya kukuelewa, anayetaka kukumiliki.
Inapofikia mtu anatoka nje ya mahusiano lazima ni kwa minajili ya self satisfaction na sio kujidhalilisha. Unless anayetoka nae amdhalilishe.
Kutegemeana na sababu ya kutoka nje
Hii picha ni ya siku nyiiingi..ili tukio lilitokea Southern Sun hotel Dar jirani na International House...kati ya Changudoa na Mwarabu baada ya Changu kutoridhishwa na malipo na kupambana na Mwarabu akiwa mtupu...
Watu wanajibinafsisha pale wanapokubali kuwa mwili mmoja . Yatakayotokea baada ya hapo yanawahusu wote wawili mpaka watakapoamua kuachana. Ndio maana hata mmoja wao akifanya kitu cha ajabu atakua anaelezewa kama "mke/mume wa fulani kafanya hili au lile" badala ya kutajwa yeye mwenyewe. Lazima wahusishwe kuonyesha kwamba kuna muungano kati yao. Hivyo kama huyo mama anaetembea bila nguo barabarani ana mume, aibu yake ni ya mume wake maana ni rahisi zaidi watu kumhusisha kila watakapomhukumu mke wake.