Hii ni habari njema kiafya, lakini kidiplomasia ni kama mkuki kwa Tanzania

Nyengo3

JF-Expert Member
Jan 17, 2020
517
1,291
Habari wana JF

Ni wazi sasa tunashuhudia kuongezeka kwa wimbi la maonyo, ukosoaji na kunyooshewa kidole na jumuiya mbalimbali za kimataifa.

Kipindi cha Nyerere hatukuona mambo haya. Kipindi cha mzee Mwinyi pia. Mzee Mkapa alisifika sana kwa kuinua uchumi wa nchi yetu. JK alitambulika kama mwanadiplomasia mahiri wa Afrika, mpaka akapewa tuzo ya kiongozi bora Afrika.

Miaka ya nyuma Tanzania ilipaa kimataifa katika nyanja mbalimbali kama vile; uchumi imara, uhuru wa habari, kukua kwa demokrasia, ustawi wa jamii n.k

Lakini katika kipindi cha Rais Magufuli, mambo ni tofauti sana! Je, kama taifa nini tufanye? Serikali ifanye nini?

Huko mbele sidhani kama ni SALAMA.
20210221_001114.jpg
 
Somo-WHO wanaamini hakuna linalofanyika Ilhali imeelekezwa tayari Maombi maalum ya siku tatu mfululizo,
Na juhudi za 'Nyungu' juu.:D

Kuishi kwingi kuona mengi.
 
Somo-WHO wanaamini hakuna linalofanyika Ilhali imeelekezwa tayari Maombi maalum ya siku tatu mfululizo,
Na juhudi za 'Nyungu' juu.:D

Kuishi kwingi kuona mengi.
Ndio maana wakatoa, onyo tena kwa mara ya pili. Ngoja tuskie upande wa asiyeshindwa kamwe utajibu nini.
 
Mbona statement yake inakuja pamoja na habari za mwanakwenda! Kwani alikua na corona!

Tz ni salama~JPM2021
 
Mbona statement yake inakuja pamoja na habari za mwanakwenda! Kwani alikua na corona!

Tz ni salama~JPM2021
Unajua hii serikali na baadhi ya raia wenye ubongo mzito, wanadhani kutokutoa takwimu, kuminya uhuru wa habari, na vitisho basi ndio njia tosha ya kuficha uhalifu wao. kumbe ukweli unajulikana na dunia nzima.
 
...mtoto wa kiume kusifiwa sifiwa ni umama sasa kama unapenda kusikia sifa mkomoe Magufuli hamia katika Nchi za waliowasifia na kuwapa Tuzo kina Kikwete
Umemtaja kabisa anayependa kusifiwa, una ujasiri!
 
Anyway uzii umeuleta kwa kuegemea upande mmoja,blaming...Mi naona WHO hawatakiwa kuonyesha ubabe kwenye Mambo ambayo si kipaumbele.WHO wanatakiwa kujibu maswli yetu Kwanza na watoe majibu ya kuridhisha sio kulazimisha yao tu,ambayo kimsingi hayana tija.WHO watuambie kwa nn waruhusu chanjo zaidi ya moja ?? Na kwann waruhusu kutumika kwa chanjo ambazo tayar zina matokeo negative?

Sijasikia kauli ya WHO wakisitisha izalishaji wa chanjo zenye matokeo negative Kama Astra zenecca,hapa wamepingana na fani yao ,je huu sio uharifu wa afya na maisha ya watu???Tanzania hatuja pokea chanjo zao lakini tunasababu ya msingi nayo ni hii chanjo zao bado hakuna yenye uhakika,Sasa maguful na HWO Nani mhalifu wa afya na maisha ya watu?

How can u allow a vaccine having negative efficiency ??? Is this science!!! Tunataka waje na chanjo moja ,yenye ufanisi dhidi ya covid ,sio kuhangaika na Tanzania.kama ni chanjo tunaitaka lakini sio chanjo hizi za majaribio,we need a realistic vaccine.

WHO limekuwa ni shirika la fitina na vioja tupu.wamesambaza chanjo zao za ramli na zinaua watu,na hawatoi kauli kuzi simamisha ,Africa kusini waliikataa Astra zenecca baada ya kuona inamatokeo mabaya, mbona hawakutoa kauli ya kusimamisha uzalishaji? HWO endeleeni kutumika MUngu anawaona.
 
Unajua hii serikali na baadhi ya raia wenye ubongo mzito, wanadhani kutokutoa takwimu, kuminya uhuru wa habari, na vitisho basi ndio njia tosha ya kuficha uhalifu wao. kumbe ukweli unajulikana na dunia nzima.
Hili ni tatizo la kupenda kitu kabla ya kukijua vizuri kiundani, mwisho wa siku unakua mshabiki... Husikii huoni...
 
anyway.uzii umeuleta kwa kuegemea upande mmoja,blaming...Mi naona WHO hawatakiwa kuonyesha ubabe kwenye Mambo ambayo si kipaumbele.WHO wanatakiwa kujibu maswli yetu Kwanza na watoe majibu ya kuridhisha sio kulazimisha yao tu,ambayo kimsingi hayana tija.WHO watuambie kwa nn waruhusu chanjo zaidi ya moja ?? Na kwann waruhusu kutumika kwa chanjo ambazo tayar zina matokeo negative??? Sijasikia kauli ya WHO wakisitisha izalishaji wa chanjo zenye matokeo negative Kama Astra zenecca,hapa wamepingana na fani yao ,je huu sio uharifu wa afya na maisha ya watu???Tanzania hatuja pokea chanjo zao lakini tunasababu ya msingi nayo ni hii chanjo zao bado hakuna yenye uhakika,Sasa maguful na HWO Nani mhalifu wa afya na maisha ya watu??? how can u allow a vaccine having negative efficiency ??? Is this science!!! Tunataka waje na chanjo moja ,yenye ufanisi dhidi ya covid ,sio kuhangaika na Tanzania.kama ni chanjo tunaitaka lakini sio chanjo hizi za majaribio,we need a realistic vaccine.WHO limekuwa ni shirika la fitina na vioja tupu.wamesambaza chanjo zao za ramli na zinaua watu,na hawatoi kauli kuzi simamisha ,Africa kusini waliikataa Astra zenecca baada ya kuona inamatokeo mabaya, mbona hawakutoa kauli ya kusimamisha uzalishaji? HWO endeleeni kutumika MUngu anawaona.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Mkuu, kwanza fahamu fika unapozungumzia suala la chanjo unazungumzia sayansi. Unapata wapi ujasiri wa kisayansi kusema hii chanjo ina madhara ingali hujaijaribu?? Wewe huoni kama hapo ni tuhuma za kisiasa tuu mnatoa! Mpaka sasa katika nchi zote zaidi ya 50 kote duniani, zilizoanza kutoa chanjo hakuna hata moja iliyoonesha shaka na chanjo yoyote. Sasa wewe Tz shaka yako imeegemea kwenye msingi upi wa facts!?
Kuhusu chanjo kuwa nyingi, kumbuka hili janga ni la dunia nzima. Hivyo kila nchi inahangaika kutafuta suluhu/chanjo, lakini vigezo na masharti ya afya kuzingatiwa.. chanjo yoyote ni lazima ithibitishwe na WHO ndio ianze kutumika kama inafaa. Hata Tz kama tuna uwezo wa kutengeneza chanjo na ikathibitishwa na WHO hatukatazwi. Au wewe uniambie ni chanjo gani sasa hivi inatumika na haijapitishwa na WHO??
Ni nchi gani imetuhumu chanjo yoyote kuwa na madhara??
 
Somo-WHO wanaamini hakuna linalofanyika Ilhali imeelekezwa tayari Maombi maalum ya siku tatu mfululizo,
Na juhudi za 'Nyungu' juu.:D

Kuishi kwingi kuona mengi.
WHO wajinga Sana,Sisi tunaanza na MUNGU na tunamaliza na MUNGU.Watuache Mungu yupo pamoja nasi.
 
Umemtaja kabisa anayependa kusifiwa, una ujasiri!

Ndio tataizo kubwa la watanzania UOGA!! Hawana ujasiri hata robo!! Wanaogopa hata kuvaa barakoa eti wataonekana wapinzani wa Magufuli. Uhai wako na Magufuli kipi bora?
 
Haya makelele hayajaanza leo...ht mwaka jana walitusema sana...inchi jirani nazo hazikua nyuma kutukejeli kwa maneno mbofu mbofu huku zenyewe zikiweka lockdown...wakati Mzee anapima mapapai na Mbuzi Maonyo, dhihaka na kejeli zilikua za kutosha kutoka kila pembe ya dunia probably zaidi hizi za sasa ila Mzee alishikiria msikamo wake na tukavuka salama ingawa tukiwa na majeraha.

Wakati wenzetu wanavaa barakoa na lockdown sisi tulikua tunajaza viwanja vya mpira tukishangilia team zetu, majirani wakituangalia kwa wivu mkubwa na kuyalamba matapishi yao kwa aibu.

Sasa tunapitishwa ktk moto ule ule wa mwaka jana, na msimamo wa Mzee ukiwa ni ule ule.
Je ni imani yetu haba na kutotaka kujifunza kwa tuliyopitia mwaka jana au ni tabia yetu ya unafiki, ulalamishi na kujisahulisha?
then tukishalivuka hili tuanze tena kumsifia Mzee huku tukijisahaulisha kua siku chache nyuma tulikua tunamponda?
Tujifunze kua na imani, uvimilivu na zaidi kuweka akiba ya maneno ht km hatuna nyuso za aibu.
 
Haya makelele hayajaanza leo...ht mwaka jana walitusema sana...inchi jirani nazo hazikua nyuma kutukejeli kwa maneno mbofu mbofu huku zenyewe zikiweka lockdown...wakati Mzee anapima mapapai na Mbuzi Maonyo, dhihaka na kejeli zilikua za kutosha kutoka kila pembe ya dunia probably zaidi hizi za sasa ila Mzee alishikiria msikamo wake na tukavuka salama ingawa tukiwa na majeraha.

Wakati wenzetu wanavaa barakoa na lockdown sisi tulikua tunajaza viwanja vya mpira tukishangilia team zetu, majirani wakituangalia kwa wivu mkubwa na kuyalamba matapishi yao kwa aibu.

Sasa tunapitishwa ktk moto ule ule wa mwaka jana, na msimamo wa Mzee ukiwa ni ule ule.
Je ni imani yetu haba na kutotaka kujifunza kwa tuliyopitia mwaka jana au ni tabia yetu ya unafiki, ulalamishi na kujisahulisha?
then tukishalivuka hili tuanze tena kumsifia Mzee huku tukijisahaulisha kua siku chache nyuma tulikua tunamponda?
Tujifunze kua na imani, uvimilivu na zaidi kuweka akiba ya maneno ht km hatuna nyuso za aibu.
Hivi serikali ikichukua hatua stahiki ili kupambana na hili janga kuna ubaya gani? Kila kona hofu, vifo na maambukizi vimetapakaa. Mikusanyiko isiyo na lazima iko palepale, mbaya zaidi watu wanaogopa hata kuvaa barakoa kwa sababu watadhihakiwa! Na hili limethibitika leo kutoka kwa Rais wa nchi mwenyewe pale St. Peter's Oysterbay.
 
Back
Top Bottom