Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 6,993
- 8,917
Mkuu kwa pc gamers hii game wenye pc zenye duo kwa specification sidhani kama itakubali
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
SANA. au we kwako hizo gb 80 ni ndogo?mkuu ukiona hivyo jua wewe sio mlengwa...yaani GB 80-101 umeona ni shidahh!!!
Hizo ndani ya siku 4-7 mtu unamaliza kushusha mzigo kwa mabundle ya usiku.SANA. au we kwako hizo gb 80 ni ndogo?
kweli hii kitu kwa uwezo wa ki machine changu itanibidi ni lisikilizie kwa troublemaker
Hapo kwenye specs kwenye kalaptop kangu hakaingii. Ngoja nipambane na hali yangu
Hii hata sio ya kuogopesha naamini computer yoyote yenye uwezo wa RAM GB 4 inaweza kurun hiyo game, reason hata kwenye simu CALL OF DUTY MOBILE wanasema minimum requirement kuanzia ram gb 3 wakati uhalisia hata RAM GB 2 inacheza (kwenye simu yangu inacheza poa RAM 2GB). Hizo ni factor zao za technical but in reality game zinacheza hata kwa game ndogo chini ya hapo.
Kwenye pc hizo requirement hazikwepeki mkuuHii hata sio ya kuogopesha naamini computer yoyote yenye uwezo wa RAM GB 4 inaweza kurun hiyo game, reason hata kwenye simu CALL OF DUTY MOBILE wanasema minimum requirement kuanzia ram gb 3 wakati uhalisia hata RAM GB 2 inacheza (kwenye simu yangu inacheza poa RAM 2GB). Hizo ni factor zao za technical but in reality game zinacheza hata kwa game ndogo chini ya hapo.
SO RAM SIO ZA KUZIOGOPA... View attachment 1384500
Sent using Jamii Forums mobile app
call of duty mobile bado sana
tusubr pubg ikichoka kuongoza ndo tutaongelea vigame vingne mjini
Ni offline au online baada y kuiinstall?Call of duty mobile ni game ya kipekee sana na nzuri inapatikana Android na ios bila kusahau mambo ya battle royale na mengineyo. Tukutane hapa tuweze kushare urafiki na clans zetu za kibongo ndan ya game hiyo pamoja udambwi udambwi mwengineView attachment 1382595
Sent using Jamii Forums mobile app
Online hiiNi offline au online baada y kuiinstall?
Hixi graphics uwa sielewi elewi wanazifanikishaje na kutengeneza uhalisia wa mambo.Hii ni game kongwe ya Call of duty wakija na mtindo mpya wa Battle royale, kutoka kutoka kampuni ya ACTIVISION, game ya style hii ndio mtindo unaopendwa kwa nyakati hizi sababu unaweza kucheza na marafiki zako pamoja na wengine katika wakati mmoja na kushirikiana!
Call of duty battle royale tayari inapatikana katika simu na tablets ikiwa na mtindo wa kufanana na PUBG, lakini sasa wanakuletea katika consoles Playstation, Xbox na Pc ambayo wote mnaweza kucheza kwa pamoja licha ya kutumia platform tofauti japokuwa ikiwa improvement kubwa tofauti na mobile devices.
Game hii imetolewa bure kabixa kwa watumiaji wote, ni swala la wewe na bundle lako katika kudownload game hii ambayo kwa watumiaji wapya inachukuwa 83GB - 101GB..
Kama unadownload kupitia PC andika "Warzone" na hakikisha Battle.net umeistall kwnye PC yako. Game hii leo ndo imeanza kupakuliwa rasmi.
Hayakazi kwenu gamers...
Ukifanikiwa kudownload share nasi... View attachment 1382578View attachment 1382579
Sent using Jamii Forums mobile app