Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,952
- 4,326
Vyama vya CHADEMA, ACT na NCCR vimejiondoa kwenye uchaguzi muhimu wa serikali za mitaa hata baada ya serikali kusalimu amri ya malalamiko yao kuhusu wagombea wao kuenguliwa kwa hila.
Yaani baada ya kuona serikali imesalimu amuri wakaona sasa ndiyo wakati wa kuibana serikali sawa sawa hadi ombi lao la kikatiba la tume huru ya uchaguzi litekelezwe mara moja, vinginevyo hawatarejea kwenye uchaguzi huo.
Kwa uamuzi huo wametoa fursa kwa CUF kuwa chama kikuu cha upinzani 2020.
Yaani baada ya kuona serikali imesalimu amuri wakaona sasa ndiyo wakati wa kuibana serikali sawa sawa hadi ombi lao la kikatiba la tume huru ya uchaguzi litekelezwe mara moja, vinginevyo hawatarejea kwenye uchaguzi huo.
Kwa uamuzi huo wametoa fursa kwa CUF kuwa chama kikuu cha upinzani 2020.