LakininLGF Sheria iko hivyo haijatoa exception kwenye ugaidi!This is straightforward, kuna doctrine ya "right treatment". Umeshitakiwa kwa kuua, na umeua kweli, ni sheria inayokataza ni section 27, lakini prosecutor anakosea anasema anakushitaki kwa Section 17. Hii huitwa techn8cality, tundu la sindano, itamnyima haki maiti.
Kama hakuua hakuua ataachiwa, lakini kwa evidence, si kwa techn8cality. Soma mada hii hapa iko kwenye jarida la Chicago Law School 2002: "MUST LIKE CASES BE TREATED ALIKE?", by David A. Strauss
Bila hivyo kesi zote watashinda magaidi kwa kukosea Section tu. Watauza kes.i
All parties seem to agree that the law exists but it was not amended in 2018- is this fatal to the extent of compromising either part's right in the long run?Wrong citation which included incomplete citation
Naona amekubali kupokea kielelezo Kama tulivyotabiri. Maumivuall parties seem to agree that the law exists but it was not amended in 2018- is this fatal to the extent of compromising either part's right in the wrong run?
Yes alivyo wa ajabuLeo kageuka !
What next now maana huyu mpuuzi. Hukumu anayo mfukoni, acha kupoteza.Leo kageuka !
Kama unapendekeza wasusie kesi kama Yanga wanavyokimbia mechi na SimbaWhat next now maana huyu mpuuzi. Hukumu anayo mfukoni, acha kupoteza.
muda fuata ushauri wa Lema
Waache wamfunge lao litimie nature will take its coursekama unapendekeza wasusie kesi kama Yanga wanavyokimbia mechi na Simba
In our jurisdiction this is fatal, Kenya and Uganda is not.all parties seem to agree that the law exists but it was not amended in 2018- is this fatal to the extent of compromising either part's right in the wrong run?
Ameishageuka tayariHawachelewi kugeuka hapa maana jaji mkuu kashawaonya kuangalia upepo unakeendaje🧐🧐
sivyo sheria ya ugaidi inavyosema- kama unataka juwa wa msaada mkuwa mkweli na muwazi bila kuficha kitu ili upateMashukuru Mkuu, na hiyo ni tafsiri worldwide. Nawasubiri waendesha mashtaka wa serikali maana wao hutunga tafsiri zao kwa manufaa binafsi.
Maagizo ni Mbowe afungwe maishaNadhani wangejitoa awali kama ilivyo shauriwa na kina Lema hata haya ya leo tusinge yajua.
Maoni yangu ni kuwa waendelee kuexpose faults za mahakama kama kutakuwa na haja ya kujitoa wafanye hivyo huko mbeleni wakati hata sisi tusio wajuzi wa sheria tumeona haki isivyo tendeka.
Ni hatari sn
Mnapoteza muda bure, toeni mawakili wamfunge Mbowe kama walivyoagiza. overLeo kageuka !
Ameishageuka tayari
Hamza hakuwa na mabomu wala maroketi lakini aliuwa askari wengi@erythrocyte aione Kibatala et al