KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,649
- 6,088
kawaaambia hivi....kama muajiri wa sasa hakulipi unavostahili hums haja ya kigoma.....we acha kazi tafuta miajiri mwingine......
Kwani private hospitals wanalipa kiai gani kwa ma DRs?
kawaaambia hivi....kama muajiri wa sasa hakulipi unavostahili hums haja ya kigoma.....we acha kazi tafuta miajiri mwingine......
Acha upotoshaji wa kihuni, una hakika kuwa hao wote uliowataja hapo juu wanalipwa laki 9 kwa mtu anayeanza kazi leo.?? Hapo kuna ambao wanaanzia na laki 4.5 anapoanza kazi.nimechoshwa na kauli eti daktari anapendelewa kwa kulipwa sana
........hebu nisaidieni mishahara ya hawa watu kwa level ya degree wanalipwa ngapi
........tanapa
.........tra
..........bot
........bandari
.......hazina
..........msd
..........nhif
..........kilimo
..........mahakama
.........ubalozini/mambo ya nje
..........etc....etc...
Can be yes kuwa "yeye hakumtuma mtu" hatuwezi kusema yeye katuma... pasipo kuwa na uhakika, what if kweli yeye hakutuma?Asema yeye hakumtuma mtu kufanya hivyo
Hizi ndio zile thread za kishambenga ambazo Mara nyingi huanzishwa na walevi wa gongo
Mimi sio muamini wa serikali hii kutokana na baadhi yamambo mengi ambayo hayako sawa, ila kwa hili la madakitari kutaka kulipwa mara nane ya watumishi wengine wa umma wenye elimu sawa nalikataa. Natambua umuhimu na ugumu wa kada ya udakitari, lakin haiwezi kupelekea kujenga tofauti kubwa kiasi hicho kimasilahi na kada zingine. Kupigania hali bora mazingira ya afya nchini ni muhimu, lakin hayaweza kuboreshwa kwa muda mfupi hivyo, lakini pia haiwezi kuwa sababu ya kuacha watu waendelee kufa kwa kukosa matibabu
Wasirudi nyuma kivipi wakati wameshaambiwa hawana haja ya kugoma ni bora kukabidhi mikoba na amewatakia kila la kheri huko waendako.
we umekazania madokta hawakwenda kufanya negotiation je serikali ambayo ilienda kufanya negotiation ni ambayo ilisema madai ya madokta ni ya msingi ilifika dau gani madokta wakakataa? inaposema itaongeza 15-20 percent huoni nayo inakuwa inakuja na order kwenye meza ya majadiliano?Mimi napenda ukweli (facts) na siyo upotoshaji. Wewe ulipoleta hoja ya kujustify malipo ya mil.3.5 kwa madaktari wanaoanza kazi ulisema kwamba wewe ni Ass.Lecturer wa UDSM na kusema mengi. Mimi nilichofanya ni kuleta figure na ukweli wenyewe.
Mimi naomba wasomaji waelewe kwamba mimi sipingi madai ya Drs wetu, lkn najaribu kuona nini justification ya wao kudai 3.5 mil.?, ukiangalia series ya yale madai utagundua kwamba priority haikuwa mazingira ya kazi bali madai binafsi. Madai yao ni ya msingi, lkn nashawishika kuamini kwamba Drs hawakuwa na timu nzuri inayoelewa nini cha kunegotiate na serikali. Wao walikwenda kwenye negotiations kama watu wa kwenda kutoa maelekezo basi. Na hili mimi ndiyo nashawishika kuamini kwamba Drs wetu hawajafanikiwa kwenye madai yao kwasababu hawakuwa na timu iliyojiandaa na kujua nini tofauti kati ya negotiations na madai. Kwenye negotiations lazima uweze kujustify offer zako na si kutoa maelekezo.