Hii ni Dharau kwa Fani ya Udaktari!

Kuonyesha kuwa serikali imehusika na jambo hili hawa akina kiwete na pinda wangemiminika mhimbili kama wangekuwa hawajahusika lakini wamehusika na nafsi na shetani wao aliewatuma zinawasuta mioyo yao imejaa uovu na dhambi ndio maana wanaona aibu hata pole wanazotoa ni za kinafiki angalia walivyoweza kumdhibiti yule bibi (spika) hata bunge halijaruhusiwa kujadili issue ya dr ulimboka kwa kuwa wanajua reaction ya watu itakavyokuwa. Ninaichukia serikali ya ccm na viongozi na wafuasi wao wote.
 
Huyu ni muongo tu. Usalama wa taifa/polisi wamehusika. Na hili lingeweza tokea kwa wanaharakati wote na wafichua mawazo kama akina
  1. Zitto
  2. Dr Slaa
  3. Mbowe
  4. Kolimba (R.I.P)
  5. n.k
Lakini sema hao ambao si red wanaulinzi wa kutosha. Maskini Dr Ulimboka hakuwa na ulinzi na alijua hili ni suala dogo kumbe wenzake walimpigia mahesabu ya kumuua. Shame on the gvt!
 
labda kama hujaisoma kwa makini.....ipitie tena utakutana na aya hii

''Ni kweli kwamba yeye si mtumishi wa Serikali, hivyo hakustahili kuwa sehemu ya majadiliano haya. Kulikuwa na rai ya kutaka asiwepo, lakini nilisema wamuache maadam Madaktari wanamuamini kuwa anaweza kuwasemea vizuri zaidi kuliko wao wenyewe walioajiriwa na Serikali.Na, kuhusu mgomo, Mahakama Kuu imekwishatoa amri ya kusitisha mgomo. Anayekaidi amri ya Mahakama ananunua lugomvi na mhimili huo wa dola ambao wenyewe una mamlaka ya kumtia adabu mtu huyo. ''
 
TELO

Mimi ni mkufunzi (TA) wa Chuo kikuu kimoja hapa bongo.

Mshahara wangu wa Tutorial assistant nilianza na zaidi ya 1m, kumzidi hata Dr, na course ya undergraduate ilikuwa miaka 3. Na kazini nina nyumba, usafiri, maji, umeme. Na bado nina muda mwingi tu wa kuwa idle (si kama Dr akianza kazi hatoki mpaka usiku). Wakati mwingine Dr anafanya kazi hata weekend, mimi sifanyi.
 
Last edited by a moderator:
Madaktari wa bongo! hiyo hela inawatosha, kagaweni panadol huko...you don't deserve more than curremt salaries; for what?

The bottom line is matatizo ya kusoma vyuo vya bure,urusi bure,Tanzania bure .rudisheni peas za Ada kwanza za bure
 
ama kweli kiwango cha elimu tanzania kimeshuka sana!assistant lect ni sawa na darasa la 4 la mkoloni
 
Hivi kuna mtu mwenye akili timamu kweli anayetegemea kuwa serikali ya CCM itakiri kuwa ilipanga njama za kumuua ama kumuumiza Dkt. Ulimboka?
 
we ulitegemea akiri thubutuuuu,hujawahi ona hata mtu akifumaniwa live huwa anakana
 
Sitaki kukubali kuwa muandishi wa habari hii ni mwalimu wa chuo kikuu, Lazima atakuwa ni muhuni wa mtaani tu huyu.

Mshahara wa kuanzia uwe mil 3.5 kwasababu kasoma miaka mi5? (wewe hovyo sana),Hebu waulize maprofesa wa hapo UDSM wanalipwa shilingi ngapi na wamesoma kwa miaka mingapi kuufikia uprofesa.Muheshimiwa Rais kaongea vizuri sana nadhani huu mjadala ufungwe,kama daktari anataka mil3.5 ambayo hata hospitali za private kama aga khan haulipi hivyo basi aache kazi atafute sehemu inayotoa mshahara wa namna hiyo.

Siyo lazima kila pumba uliyonayo kichwani uiandike humu unaweza kaa nayo tu ukajidanganye na wenzako vijiweni.
 
kawaaambia hivi....kama muajiri wa sasa hakulipi unavostahili hums haja ya kigoma.....we acha kazi tafuta miajiri mwingine......

Hakufikiria hilo kwa Makini. Kama CEO akifanyakazi isivyostahili, huna haja ya kumbembeleza.....unamfukuza kazi. Vivyo hivyo Rais akishindwa kazi atatinuliwa na kuwekwa mwingine.
Sentensi yake inakula kotelote.
 
Nasema hivi akidanganya asidanganye naomba akumbuke kuwa kuongea hicho alichosema kama amesema kweli maana sina uhakika kama kasema naomba awe na uhakika kuwa "HAMDANGANYI MUNGU BALI ANADANGANYA NAFSI YAKE NA ANARIDHISHA NAFSI YAKE MBELE YA MACHO YA WATU" naomba atubu kabla ya kuja kuonana na mola ( Allah) wake akiwa peke yake bila ya walinzi wake wa siku zote na wa hapa duniani
 
Kwa nini Rais Kikwete anatoa tamko kabla ya uchunguzi kukamilika? Je,kwa mantiki hiyo tutegemee kwamba endapo wachunguzi watapata ushahidi juu ya serikali kuhusika hawatatoa taarifa hizo. Kwa hili,nadhani J.K amezungumza kama Mwenyekiti wa ccm na siyo kama Rais.
 
Ng`wanakidiku

Umeajiriwa serikalini na serikali kuu au umeajiriwa na Taasisi ya serikali? Kaulize daktari aliyekatika Govt agencies kama NIMR analipwa shilingi ngapi. Hebu muwe mnaumiza kichwa kabla hamjapost comments zenu humu.
 
Last edited by a moderator:
Kama hakumtuma mtu sisi tuta amini vipi tu kwa maneno?

Basi akubali hiundwe tume huru ili ukweli ujulikane, kinyume na hapo ana jitetea tu.

Mtuhumiwa hawezi kujichunguza.
 
Back
Top Bottom