Hii ni dharau kubwa kwa wizara ya mambo ya ndani

Keynes

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
533
89
12_10_7hgxgy.jpg

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya ulinzi ya Knight Support,David Sutton akitishia kuondoka kikaoni kwa ghadhabu baada ya Kamishna Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji,Jenerali Matwani Kapamba (kushoto)kumueleza Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Shamsi Vuai Nahodha(wa pili kulia)kuhusu kampuni yake,wakati waziri huyo alipotembelea kampuni hiyo ikiwa ni sehemu yake ya ziara kwa kampuni mbalimbali binafsi za ulinzi na uokoaji,Dar es Salaam

MI NAJIULIZA HAWA WATU HUA WANATOA WAPI HIZI DHARAU? MBONA NCHINI KWAO HAWADHUBUTU KUONYESHA DHARAU YA NAMNA HII? YAANI HATA MBELE YA WAZIRI?
AU LABDA KWA VILE NCHI YAKE INATOA MISAADA?
Wanajamii forum kweli misaada kutoka nje ina tudhalilisha sana. We need to stand for our dignity and our nation
 
Angeliwatandika na kuanzia angelianzia Waziri mwenyewe.

Huu Uwaziri wa kupewapewa na kuja madarakani kwa Kuchakachua, ndiyo kuna kosesha heshima.

Kwanza anafahamu kuwa Watz hawawaheshimu, sasa kwa nini yeye awaheshimu?

Kama angelikuwa ni Waziri wa Dr. Slaa, huyu jamaa sasa hivi angelikuwa ndani ya PIPA akiyoyoma kwao.

Aende akafanye hivyo nchi kama RSA au Ghana, watamtoa baru.

Nchi kama hizo, Waziri akiwa legelege watambeba juu. Na akifanya madudu wanambeba juu....
 
If you have harmless P, Harmless PM logically you will have harmless minister..
 
dah... kweli tumefikia pabaya sasa... mzungu anawaka hivi, ngoja tujaribu na kwao tuone moto utakaotuwakia
 
Tunawalea wenyewe hivyo tujilaumu wenyewe mnawaona wamaana sana Tz wakati ni wapuuzi tu
 
Hivi mwenye nyumba hua hizi taarifa anazipata kweli?
Huu ni uwekezaji wa aina gani wa kutufanya watanzania watumwa wa nchi yetu kila sekta?.... Hii type ya wazungu nahisi inatokea south africa maana ndo hua hawana nidhamu kwa black people hua wanatuona kama wanyama pori. Na ndo maana ubaguzi bado south africa unaendelea.
Sidhani kama kuna mzungu anatoka nchi za ulaya au amerca anaweza kua na nidhamu ya namna hii.
Iam loosing confidence to my country.
 
View attachment 19274

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya ulinzi ya Knight Support,David Sutton akitishia kuondoka kikaoni kwa ghadhabu baada ya Kamishna Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji,Jenerali Matwani Kapamba (kushoto)kumueleza Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Shamsi Vuai Nahodha(wa pili kulia)kuhusu kampuni yake,wakati waziri huyo alipotembelea kampuni hiyo ikiwa ni sehemu yake ya ziara kwa kampuni mbalimbali binafsi za ulinzi na uokoaji,Dar es Salaam

MI NAJIULIZA HAWA WATU HUA WANATOA WAPI HIZI DHARAU? MBONA NCHINI KWAO HAWADHUBUTU KUONYESHA DHARAU YA NAMNA HII? YAANI HATA MBELE YA WAZIRI?
AU LABDA KWA VILE NCHI YAKE INATOA MISAADA?
Wanajamii forum kweli misaada kutoka nje ina tudhalilisha sana. We need to stand for our dignity and our nation

Mibongo yenyewe inajidharaulisha yenyewe, kazi ufisadi usanii na uchakajuaji. Angalia li inchi linavyoendeshwa hata mtoto mdogo anadharau sembuse mtu mzima.
 
Si dharau kwa mambo ya ndani, angekuwa anafanya hivyo mwananchi anayewakilisha wananchi toka nje ya ccm angepigwa teke na yule polisi mwenye nyota.
Angalia anavyochekelea anachofanya mzungu anaona kama ni mzimu kwako, hii ndio nchi inayoendeshwa kwa utawala unaofuata mikondo ya usanii babu
:bump:
 
Watanzania wanapodai haki zao za msingi wanamwagiwa tingikali na maji ya kuwashwa na mabomu ya machozi, lakini mzungu wanamtetemekea sana, ona wanavyomwangalia kwa hofu na kujikosha kwa kuchekelea badala ya kumshikisha adabu.
Mwone waziri anavyomwangalia kwa khofu, hapo napata picha isiyo ya kawaida jinsi watawala wetu walivyo.
Angekuwa Mbunge Lema hapo angeishia kutibiwa hospitalini. Wanajua kesho atawatuliza kwa kitu kidogo ndo utawala wa ccm ulivyo.
 
:target:Watanzania wanapodai haki zao za msingi wanamwagiwa tingikali na maji ya kuwashwa na mabomu ya machozi, lakini mzungu wanamtetemekea sana, ona wanavyomwangalia kwa hofu na kujikosha kwa kuchekelea badala ya kumshikisha adabu.
Mwone waziri anavyomwangalia kwa khofu, hapo napata picha isiyo ya kawaida jinsi watawala wetu walivyo.
Angekuwa Mbunge Lema hapo angeishia kutibiwa hospitalini. Wanajua kesho atawatuliza kwa kitu kidogo ndo utawala wa ccm ulivyo.
 
Inatia huruma kweli hawa jamaa kufanya upuuzi mbele ya viongozi wetu...
Lakini nashukuru kwamba viongozi wanawachekea hawa wapuuzi
 
Watanzania wenyewe ndiyo tunaosababisha wazungu watudharau hivyo. Simlaumu huyo mkurugenzi hata kidogo. Inawezekana argument za hao maafande pamoja na waziri ni za kitoto ndiyo maana ameamua kuondoka tu.
 
View attachment 19274

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya ulinzi ya Knight Support,David Sutton akitishia kuondoka kikaoni kwa ghadhabu baada ya Kamishna Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji,Jenerali Matwani Kapamba (kushoto)kumueleza Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Shamsi Vuai Nahodha(wa pili kulia)kuhusu kampuni yake,wakati waziri huyo alipotembelea kampuni hiyo ikiwa ni sehemu yake ya ziara kwa kampuni mbalimbali binafsi za ulinzi na uokoaji,Dar es Salaam

MI NAJIULIZA HAWA WATU HUA WANATOA WAPI HIZI DHARAU? MBONA NCHINI KWAO HAWADHUBUTU KUONYESHA DHARAU YA NAMNA HII? YAANI HATA MBELE YA WAZIRI?
AU LABDA KWA VILE NCHI YAKE INATOA MISAADA?
Wanajamii forum kweli misaada kutoka nje ina tudhalilisha sana. We need to stand for our dignity and our nation

Mbona hii imekaa kiudaku na uchochezi? Huyu mzungu kwenye picha anaonyesha akitowa point na hawa maafisa wetu wanaonyesha wamefurahi wanacheka (chekelea). Sasa hapo ni wapi anapotishia kuondoka?

Hii habari, sijui?
 
Mbona story haijakamilika? Ilikuwaje kuwaje mpaka akakasirika? Labda majamaa walikuwa wanaongea pumba.
 
Kwanini hasiondoke na kwanini hasiwadharau!!! lete hoja; kuondoka sio dharau maana yake hakubaliani nao, ana haki yake si lazima aburuzwe tena na watu amabo labda amesha waongo (Kwa mfano) alafu tena wanamsumbua anajua hawana la kumfanya hawapo serious amefanya nao miaka mingi anajua uozo na utumbo wote wanaofanya kwanini hasi-onyeshe dharau!!
 
Back
Top Bottom