Mu-sir
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 3,621
- 1,629
Wakuu tumeshuhudia nchi ya kwanza ya Afrika kuwa na marais wawili. Lakini cha kushangaza ni pale tunapoona wakuu wa Afrika wakimtuma Bwana Mbeki eti aende ku-solve mambo wakati inajulikana kwamba mshindi ni nani. Hivi hii ni type gani ya democracy? Eti mpinzani akishinda basi wazungumze kushirikiana wakati ilani na malengo ni tofauti? Kwanini AU wasiwe na msimamo kama wa UN? Nawasilisha