Hii ni dalili ya chama ambacho kimefilisika kisiasa.

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
Kwanza ni chama ambacho kinakuwa na sera ambazo hazina manufaa kwa taifa na wananchi wake,sera ambazo zinapinga maendeleo ya taifa kwa ujumla.

Chama ambacho kimefilisika kisiasa kinakuwa na mgombea ambae anaropoka hovyo majukwaani bila kujua athari ya mambo anayoyaropoka. Mfano anasimama jukwaani anasema nikiwa rais nitaruhusu watu kuuza mazao nje wanavyotaka. Je hajui kuwa mazao yakiuzwa hovyo kutaibua mfumuko wa bei ndani ya nchi yake? Hii ni sababu wafanyabiashara watauza bila mpangilio mazao nje ya nchi na kusababisha uhaba mkubwa.

Chama kilichofilisika kisiasa kinakuwa na mgombea ambae anasimama jukwaani na kusema ni makosa kuhoji vitambulisho vya uraia kwa wageni wanaoingia nchini au raia ambao wanahisiwa kuwa sio watanzania hasa wanaokaa mikoa ya mipakani. Je mgombea wa chama kama hiki hajui umuhimu wa usalama wa taifa lake dhidi ya wakimbizi au raia wanaoingia isivyo kihalali hapa nchini?

Chama kilichofilisika kisiasa kinakuwa na wanachama na wafuasi ambao ni mbumbumbu,maana wao wanakuwa kama Nyumbu anapokuwa porini,maana hukimbia hovyo kwa kufuata kundi bila kutumia akili, Nyumbu anaweza kuvuka mto hata kama kuna Mamba kisa tu anaona kundi la Nyumbu wenzake wanavuka mto.

Chama makini hakiwezi kuwa na wanachama na wafuasi ambao wakimsikia mgombea wao anasema ndege za Atcl zilinunuliwa bila kufuata utaratibu wa manunuzi na pesa hazikupitishwa na bunge,wao wanakurupuka mitaani na kwenye mitandao kuanza kushabikia uzushi ambao hauna ukweli,wanaudandia kama hoja yenye mashiko.

Chama makini hakiwezi kuwa na wanachama na wafuasi ambao wakishapewa majibu kuwa Bunge lilipitisha pesa za kununua ndege za Atcl,ghafla wanataka waonyeshwe mikataba. Je mikataba ya nchi huwa inawekwa hadharani kwenye magazeti au mitandao ya kijamii?
Kwa muktadha huu ni dhahili kuwa Chadema imefilisika kisiasa haina wanachama na wafuasi wenye kutumia akili,bali wamebaki kuwa watu wa kukariri uzushi na uongo bila kutumia common sense. Je chama kama hiki kitapata hata madiwani mwaka huu?
 
Kwanza ni chama ambacho kinakuwa na sera ambazo hazina manufaa kwa taifa na wananchi wake,sera ambazo zinapinga maendeleo ya taifa kwa ujumla.

Chama ambacho kimefilisika kisiasa kinakuwa na mgombea ambae anaropoka hovyo majukwaani bila kujua athari ya mambo anayoyaropoka. Mfano anasimama jukwaani anasema nikiwa rais nitaruhusu watu kuuza mazao nje wanavyotaka. Je hajui kuwa mazao yakiuzwa hovyo kutaibua mfumuko wa bei ndani ya nchi yake? Hii ni sababu wafanyabiashara watauza bila mpangilio mazao nje ya nchi na kusababisha uhaba mkubwa.

Chama kilichofilisika kisiasa kinakuwa na mgombea ambae anasimama jukwaani na kusema ni makosa kuhoji vitambulisho vya uraia kwa wageni wanaoingia nchini au raia ambao wanahisiwa kuwa sio watanzania hasa wanaokaa mikoa ya mipakani. Je mgombea wa chama kama hiki hajui umuhimu wa usalama wa taifa lake dhidi ya wakimbizi au raia wanaoingia isivyo kihalali hapa nchini?

Chama kilichofilisika kisiasa kinakuwa na wanachama na wafuasi ambao ni mbumbumbu,maana wao wanakuwa kama Nyumbu anapokuwa porini,maana hukimbia hovyo kwa kufuata kundi bila kutumia akili, Nyumbu anaweza kuvuka mto hata kama kuna Mamba kisa tu anaona kundi la Nyumbu wenzake wanavuka mto.

Chama makini hakiwezi kuwa na wanachama na wafuasi ambao wakimsikia mgombea wao anasema ndege za Atcl zilinunuliwa bila kufuata utaratibu wa manunuzi na pesa hazikupitishwa na bunge,wao wanakurupuka mitaani na kwenye mitandao kuanza kushabikia uzushi ambao hauna ukweli,wanaudandia kama hoja yenye mashiko.

Chama makini hakiwezi kuwa na wanachama na wafuasi ambao wakishapewa majibu kuwa Bunge lilipitisha pesa za kununua ndege za Atcl,ghafla wanataka waonyeshwe mikataba. Je mikataba ya nchi huwa inawekwa hadharani kwenye magazeti au mitandao ya kijamii?
Kwa muktadha huu ni dhahili kuwa Chadema imefilisika kisiasa haina wanachama na wafuasi wenye kutumia akili,bali wamebaki kuwa watu wa kukariri uzushi na uongo bila kutumia common sense. Je chama kama hiki kitapata hata madiwani mwaka huu?
Huruma! Pole sana ndugu!!!
 
Tunataka naye magufuli akapinge hoja za mpinzani wake mbele ya waandishi wa habari kwa kuwapa uhuru wa kuuliza maswali yao bila kuweka mipaka kama ambavyo mpinzani wake amefanya.

Tunataka tuone utetezi wake dhidi ya hoja za lisu utakua una nguvu gani pia itakua ni kipimo tosha kujua kiwango chake cha kujenga hoja.

Bado naungana na lisu kua hakuna hoja ya kipuuzi kama ya kusema anatumika na mabeberu kama ambavyo ccm imekua ikizungumzia nonstop kwenye kila tamasha lao
 
Chama makini ni kile ambacho kwa miaka mitano kikiwa madarakani kimeteka watu,kimepiga watu risasi,kimeminya uhuru kwa kujieleza kwa kiwango cha lami,kilikataza vyama vya upinzani kufanya siasa ila chenyewe kikawa kinafanya siasa kwa miaka mitano,kinakula rambirambi za majanga ya asili,kinanyima wastaafu kupata mafao yao kwa wakati,kinafanya ufisadi kupitia Mayanga constuctors,kinaminya democrasia na kinatumia nguvu nyingi sana kuaminisha umma kuwa ni chama bora
 
Tunataka naye magufuli akapinge hoja za mpinzani wake mbele ya waandishi wa habari kwa kuwapa uhuru wa kuuliza maswali yao bila kuweka mipaka kama ambavyo mpinzani wake amefanya.

Tunataka tuone utetezi wake dhidi ya hoja za lisu utakua una nguvu gani pia itakua ni kipimo tosha kujua kiwango chake cha kujenga hoja.

Bado naungana na lisu kua hakuna hoja ya kipuuzi kama ya kusema anatumika na mabeberu kama ambavyo ccm imekua ikizungumzia nonstop kwenye kila tamasha lao
Hoja zipi unataka JPM azipinge?
Kama ni ndege za Atcl na uwanja wa ndege Chato umeshapewa majibu.
Hizo za kipuuzi za cheti za kuzaliwa hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi kujibu.
 
Kwanza ni chama ambacho kinakuwa na sera ambazo hazina manufaa kwa taifa na wananchi wake,sera ambazo zinapinga maendeleo ya taifa kwa ujumla.

Chama ambacho kimefilisika kisiasa kinakuwa na mgombea ambae anaropoka hovyo majukwaani bila kujua athari ya mambo anayoyaropoka. Mfano anasimama jukwaani anasema nikiwa rais nitaruhusu watu kuuza mazao nje wanavyotaka. Je hajui kuwa mazao yakiuzwa hovyo kutaibua mfumuko wa bei ndani ya nchi yake? Hii ni sababu wafanyabiashara watauza bila mpangilio mazao nje ya nchi na kusababisha uhaba mkubwa.

Chama kilichofilisika kisiasa kinakuwa na mgombea ambae anasimama jukwaani na kusema ni makosa kuhoji vitambulisho vya uraia kwa wageni wanaoingia nchini au raia ambao wanahisiwa kuwa sio watanzania hasa wanaokaa mikoa ya mipakani. Je mgombea wa chama kama hiki hajui umuhimu wa usalama wa taifa lake dhidi ya wakimbizi au raia wanaoingia isivyo kihalali hapa nchini?

Chama kilichofilisika kisiasa kinakuwa na wanachama na wafuasi ambao ni mbumbumbu,maana wao wanakuwa kama Nyumbu anapokuwa porini,maana hukimbia hovyo kwa kufuata kundi bila kutumia akili, Nyumbu anaweza kuvuka mto hata kama kuna Mamba kisa tu anaona kundi la Nyumbu wenzake wanavuka mto.

Chama makini hakiwezi kuwa na wanachama na wafuasi ambao wakimsikia mgombea wao anasema ndege za Atcl zilinunuliwa bila kufuata utaratibu wa manunuzi na pesa hazikupitishwa na bunge,wao wanakurupuka mitaani na kwenye mitandao kuanza kushabikia uzushi ambao hauna ukweli,wanaudandia kama hoja yenye mashiko.

Chama makini hakiwezi kuwa na wanachama na wafuasi ambao wakishapewa majibu kuwa Bunge lilipitisha pesa za kununua ndege za Atcl,ghafla wanataka waonyeshwe mikataba. Je mikataba ya nchi huwa inawekwa hadharani kwenye magazeti au mitandao ya kijamii?
Kwa muktadha huu ni dhahili kuwa Chadema imefilisika kisiasa haina wanachama na wafuasi wenye kutumia akili,bali wamebaki kuwa watu wa kukariri uzushi na uongo bila kutumia common sense. Je chama kama hiki kitapata hata madiwani mwaka huu?
Ndio maana mbowe,halima mdee na mnyika wame mkacha kimya kimya..
 
Chama makini ni kile ambacho kwa miaka mitano kikiwa madarakani kimeteka watu,kimepiga watu risasi,kimeminya uhuru kwa kujieleza kwa kiwango cha lami,kilikataza vyama vya upinzani kufanya siasa ila chenyewe kikawa kinafanya siasa kwa miaka mitano,kinakula rambirambi za majanga ya asili,kinanyima wastaafu kupata mafao yao kwa wakati,kinafanya ufisadi kupitia Mayanga constuctors,kinaminya democrasia na kinatumia nguvu nyingi sana kuaminisha umma kuwa ni chama bora
Walewale...
 
Tunataka naye magufuli akapinge hoja za mpinzani wake mbele ya waandishi wa habari kwa kuwapa uhuru wa kuuliza maswali yao bila kuweka mipaka kama ambavyo mpinzani wake amefanya.

Tunataka tuone utetezi wake dhidi ya hoja za lisu utakua una nguvu gani pia itakua ni kipimo tosha kujua kiwango chake cha kujenga hoja.

Bado naungana na lisu kua hakuna hoja ya kipuuzi kama ya kusema anatumika na mabeberu kama ambavyo ccm imekua ikizungumzia nonstop kwenye kila tamasha lao
Kiswahili chenyewe kinampa shida
 
Ungekuwa unajua uchumi usingekuwa na mawazo hayo. Ukiuza nje unapata pesa ukiwa na pesa unanunua chakula hata wakati wa njaa, kuuza nje uchochea uzalishaji zaidi wa ndani.
Kuuza vyeti vya kuzaliwa hoja inakuja anaewaambia wenzake waonyeshee vyeti mbona vyake haonyeshi.
 
Wafuasi wa Magufuli wote ni wale wenye roho za kimasikini. Wewe ukitaka kuamini, akifukuzwa mtu kazi, utaona wanavyomsimanga wakipata watu maafa wanachangisha wanakula hawapewi walio umizwa.

Mtu akipata ajali asipokufa wanahuzunika wakimpa kitu mtu kutwa watamtangaza. wakitimiza wajibu wao mfano kuswali au kwenda kanisani wataita waandishi ili wajitangazie utakatifu wakienda ziara bas pesa zote watajionyesha ili wasionekane ni wenye shida hawa ni mashetan waovu
 
2529639_Screenshot_2020-09-24-19-55-15-1.jpg
EirzcgQWAAATNWA.jpeg
 
Kuuza mazao nje kunachochea uzalishaji, sababu watu watalima Sana na utoona machinga na bodaboda wamejazana mijini sababu shambani Kuna lipa
 
Mikataba haiwezi kuwa Siri sababu ni Kodi zetu na sio hela za baba zenu tunayo haki ya kujua pesa zetu zinatumika vipi na sio maamuzi ya mtu na mjomba wake
Kwani mikataba umeambiwa ni siri? Ndio maana nasema hamtumii akili,mikataba sio siri lakini haiwezi kuwekwe kwenye magazetia au hapa Jf.
 
Back
Top Bottom