Mkaa Mweupe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 654
- 183
WanaJamii,
Naomba mnijuze, kuna watu waliopata kusoma sekondari (O-Level) pale Forodhani au Tambaza, afu wakapitia High School pale Mkwawa.
Wengi wenu nadhani mpo katika hii JamiiForum. Sasa baada ya muda wakati shule zote hizi ni non-existance watoto wako watakuelewa kweli ukiwaambia eti ulisoma mpaka form six wakati shule zenyewe hazipo? Au watakuona unawazuga?
Naomba mnijuze, kuna watu waliopata kusoma sekondari (O-Level) pale Forodhani au Tambaza, afu wakapitia High School pale Mkwawa.
Wengi wenu nadhani mpo katika hii JamiiForum. Sasa baada ya muda wakati shule zote hizi ni non-existance watoto wako watakuelewa kweli ukiwaambia eti ulisoma mpaka form six wakati shule zenyewe hazipo? Au watakuona unawazuga?