Mbinu kwa nini isiwe hoja ya msingi, mbinu inayotumika ni very unsustainable, mkataba wa Magufuli na Mungu ukiisha ndio mwisho wa hiyo strategy. Tengeneza mfumo ambao utafanya watu wakatae upinzani ( kama ipo) na sio kununua watu. Au hukumbuki kuwa hata biashara ya utumwa ilishamiri duniani lakini haikuwa sustainable, leo imebaki history.Hoja ya msingi sio CCM wanatumia njia gani bali hoja ya msingi ni kweli CHADEMA inadhoofika?