Hii ni awamu ya CHADEMA kufutika kama chama kikuu cha upinzani nchini

NCCR Mrema alikuwa pandikizi mwisho tumeuona.
Lipumba,Mapalala,Babu Mihogo, hao wote waliwekwa kutuzuga wananchi. Kwasababu laiti kama walikuwa wapinzani kweli mbona hayajawakuta. Kama haya yanaowakuta wapinzani wa kweli Chadema na Ukawa?. Kawa Ccm inajiamini iweke tume huru na uchaguzi uwe huru sio kuwapiga wapinzani na kujisifia mitandaoni.
Hujaelewa andiko lake
 
Kama umedurusu vizuri historia ya upinzani Tanzania huwezi kuwa dismissive kiasi hiki unless uwe kwenye denial. Tuliokuwepo kuanzia uchaguzi mkuu Wa kwanza Wa vyama vingi mwaka 1995 tunajua. Ni pattern kwa kila chama cha upinzani chenye nguvu kupotea kila awamu mpya inaposhika hatamu. Dr. Lamwai mwaka 1997 alirudi CCM kutoka NCCR Mageuzi, kina Kasanga Tumbo, Fundikira na wengine wote walirudi CCM.
Soma historia na usiwe mbishi kwa vile tu akili yako INA matamanio makubwa kwa upinzani
Mkuu usilinganishe nyakati hizi nazile nyakati za giza! Vijana wa sasa si kama wale wanyakati zile.. maovu yote wanao tendewa baba zao wanaona watu wametumbuliwa bila kosa wengi wametimuliwa makazini hata baada yakufanya kazi miaka mingi leo unakuja kumwambia hana cheti!? Huyo kijana anatizama tu mabaya wazazi wanayo tendewa. Hizo nyakati zako sidhani kama haya mambo yalikwepo, hii mitandao ni balaa lingine!! Watu wanapashana habari siyo mchezo. Mtu kapewa udc tiyar watu umejua sababu.
 
Wahenga walisema ujana ni maji ya moto. Yanakuwa na mikwara kwa muda tu. Yakipoa yanatulia lakini yakipoa zaidi yanaganda na kuwa barafu. Ujana wao utapita watakuja vijana wengine wakiwahoji ujana wao waliutumia kufanya nini.
Aibu itawajaa maana ujana wao walitumia kuandamana na kuwa wafuasi wa wanaharakati wasio na dira katika nchi.
Ninakubaliana kwa kiwango kikubwa na andiko lako.
 
MsemajiUkweli unapoteza muda kujibizana na political dwarfs. Hao jamaa hudhani kuwa hisia zao ndio has uchambuzi wa kitaalam katika siasa. Kwa kuwa hawaamini katika ugonjwa, hao jamaa wape muda wajifunze ukweli baada ya kushuhudia kwa macho chama chao kikizikwa kwenye makabuli ya halaiki. Chadema wamekosa uongozi wenye dira, na bahati mbaya hadi sasa muda umekwisha.Hawawezi kurudi nyuma tena.
Mkuu CHADEMA haifi na hamwezi kuifuta, siku mkiimaliza au kuifuta.

Naomba uje unitag hapa tena kwenye hii comment yangu.

Kila la kheri katika kuifuta CHADEMA
 
Kwa kutumia police sawa, tume sawa ila tutaheshimiana tu
Kama chadema inatumiwa green gard na police kwenye kutangaza matokeo kwa lazima basi uasi uko karibuni na ccm mtakoma nawaambia
Mkuu;
Nadhani hujaelewa hoja zangu.

Ulichofanya ni kutanguliza jaziba katika kujenga hoja badala ya fikra pana.
 
There’s a saying that goes like: Once is chance, twice is coincidence, third time is pattern.

Nimeanza na angalizo hapo juu ili kuwasaidia wale ambao watadhani andiko langu ni kama ramli bila kuangalia ukweli wa historia.

Kwa wale wanaojua vizuri historia ya siasa za Tanzania lazima watatambua kuwa kila utawala mpya unaongia madarakani kwa tiketi ya TANU/CCM huhakikisha unafuta nguvu ya chama kikuu kilichokuwa cha upinzani na huibuka chama kingine kuchukua nafasi hiyo.

Mkakati huu hufanikiwa sana kwa sababu TANU/CCM ni Chama Dola na pia migogoro ya kiungozi ndani ya chama kikuu cha upinzani. Ninaposema CCM ni Chama Dola nina maana kuwa huwezi kuitenganisha CCM na ‘’Kitengo’’. Kitengo kwa lugha ya kiingereza kinaitwa Deep State. Swali labda utauliza, kwa nini huwezi kuitenganisha CCM na Kitengo (Deep State)? Jibu fupi ni kwa sababu Taifa letu limeundwa katika muundo huo.

Ifahamike kuwa chama kinakuwa ni kikuu cha upinzani kama kina wabunge na madiwani wengi. Ikumbukwe pesa za ruzuku zinategemea wingi wa Wabunge, Madiwani na kura za Urais. Huwezi kuendesha kwa mafanikio chama cha siasa nchini bila pesa za ruzuku toka serikalini.

Katika utawala wa Mwl. Nyerere mwaka 1961 kulikuwa na chama kikuu cha upinzani kulichoitwa ANC chini ya Zuberi Mtemvu lakini kufikia mwaka 1965 Rais Nyerere akawa amekifuta katika uso wa dunia.

Tuliona katika utawala wa Rais Mwinyi kulikuwa na NCCR-Mageuzi ambayo ilikuwa ni chama kikuu cha upinzani.

NCCR-Mageuzi iliingia kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995 ikiwa ni chama kikuu cha upinzani nchini.

Baada ya Rais Mkapa kuingia madarakani mwaka 1995 alihakikisha nguvu ya NCCR-Mageuzi kama chama kikuu cha upinzani inapotea nchini.

Kwa kudhihirisha hilo tuliona katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2000 NCCR-Mageuzi ikizikwa kama chama kikuu cha upinzani ambapo chama cha CUF chini ya Prof. Lipumba kiliibuka kuwa chama kikuu cha Upinzani nchini.

CUF iliingia kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2005 ikiwa ni chama kikuu cha upinzani nchini ambapo Rais Kikwete alichaguliwa kuwa Rais huku CUF ikiendelea kuwa chama kikuu cha upinzani.

Baada ya kuingia madarakani, Rais Kikwete alihakikisha nguvu ya CUF inapotea kama chama kikuu cha upinzani nchini.

Kwa kudhihirisha azma hiyo tuliona katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 CUF ikizikwa kama chama kikuu cha upinzani nchini ambapo CHADEMA kiliibuka kuwa chama kikuu cha upinzani nchini.

Kama ilivyokuwa kwa NCCR-Mageuzi na CUF, tumeona CHADEMA ikiingia kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 ikiwa ni chama kikuu cha upinzani na kutoka bado ikiwa chama kikuu cha upinzani nchini.

Kama historia inavyobainisha basi kifo cha CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani ni baada ya Uchaguzi Mkuu 2020.

Kwa wale wanatumia upeo mkubwa katika kuchambua na kuchanganua masuala ya kisiasa nchini watagundua kuwa dalili za CHADEMA kupotea kama chama kikuu cha upinzani nchini zimeanza kujionesha.

CHADEMA demise is a real thing, and it's happening now!

Hoja iliyoko mbele yetu kwa sasa ni chama gani kitachukua nafasi ya CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020?

Ni chama gani kinaandaliwa kwa sasa ili kuchukua nafasi ya CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani kama ambavyo CUF iliandaliwa kuchukua nafasi ya NCCR-!Mageuzi na CHADEMA kuchukua nafasi ya CUF?

Nadhani wanaotumia 3D thinking and reasoning wamejua ni chama kipi kinaandaliwa kuchukua nafasi ya CHADEMA!
You're such a great fool man!!!Ikifutika then?au tanzania itageuka dubai!!!Hapo Lumumba pana pepo la kunyonya akili za watu na hatimaaye kubaki km mazombie.Nimemsikiliza leo Dr KM nikawaza akili za kapeleka wapi amebaki mtupu
 
There’s a saying that goes like: Once is chance, twice is coincidence, third time is pattern.

Nimeanza na angalizo hapo juu ili kuwasaidia wale ambao watadhani andiko langu ni kama ramli bila kuangalia ukweli wa historia.

Kwa wale wanaojua vizuri historia ya siasa za Tanzania lazima watatambua kuwa kila utawala mpya unaongia madarakani kwa tiketi ya TANU/CCM huhakikisha unafuta nguvu ya chama kikuu kilichokuwa cha upinzani na huibuka chama kingine kuchukua nafasi hiyo.

Mkakati huu hufanikiwa sana kwa sababu TANU/CCM ni Chama Dola na pia migogoro ya kiungozi ndani ya chama kikuu cha upinzani. Ninaposema CCM ni Chama Dola nina maana kuwa huwezi kuitenganisha CCM na ‘’Kitengo’’. Kitengo kwa lugha ya kiingereza kinaitwa Deep State. Swali labda utauliza, kwa nini huwezi kuitenganisha CCM na Kitengo (Deep State)? Jibu fupi ni kwa sababu Taifa letu limeundwa katika muundo huo.

Ifahamike kuwa chama kinakuwa ni kikuu cha upinzani kama kina wabunge na madiwani wengi. Ikumbukwe pesa za ruzuku zinategemea wingi wa Wabunge, Madiwani na kura za Urais. Huwezi kuendesha kwa mafanikio chama cha siasa nchini bila pesa za ruzuku toka serikalini.

Katika utawala wa Mwl. Nyerere mwaka 1961 kulikuwa na chama kikuu cha upinzani kulichoitwa ANC chini ya Zuberi Mtemvu lakini kufikia mwaka 1965 Rais Nyerere akawa amekifuta katika uso wa dunia.

Tuliona katika utawala wa Rais Mwinyi kulikuwa na NCCR-Mageuzi ambayo ilikuwa ni chama kikuu cha upinzani.

NCCR-Mageuzi iliingia kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995 ikiwa ni chama kikuu cha upinzani nchini.

Baada ya Rais Mkapa kuingia madarakani mwaka 1995 alihakikisha nguvu ya NCCR-Mageuzi kama chama kikuu cha upinzani inapotea nchini.

Kwa kudhihirisha hilo tuliona katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2000 NCCR-Mageuzi ikizikwa kama chama kikuu cha upinzani ambapo chama cha CUF chini ya Prof. Lipumba kiliibuka kuwa chama kikuu cha Upinzani nchini.

CUF iliingia kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2005 ikiwa ni chama kikuu cha upinzani nchini ambapo Rais Kikwete alichaguliwa kuwa Rais huku CUF ikiendelea kuwa chama kikuu cha upinzani.

Baada ya kuingia madarakani, Rais Kikwete alihakikisha nguvu ya CUF inapotea kama chama kikuu cha upinzani nchini.

Kwa kudhihirisha azma hiyo tuliona katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 CUF ikizikwa kama chama kikuu cha upinzani nchini ambapo CHADEMA kiliibuka kuwa chama kikuu cha upinzani nchini.

Kama ilivyokuwa kwa NCCR-Mageuzi na CUF, tumeona CHADEMA ikiingia kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 ikiwa ni chama kikuu cha upinzani na kutoka bado ikiwa chama kikuu cha upinzani nchini.

Kama historia inavyobainisha basi kifo cha CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani ni baada ya Uchaguzi Mkuu 2020.

Kwa wale wanatumia upeo mkubwa katika kuchambua na kuchanganua masuala ya kisiasa nchini watagundua kuwa dalili za CHADEMA kupotea kama chama kikuu cha upinzani nchini zimeanza kujionesha.

CHADEMA demise is a real thing, and it's happening now!

Hoja iliyoko mbele yetu kwa sasa ni chama gani kitachukua nafasi ya CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020?

Ni chama gani kinaandaliwa kwa sasa ili kuchukua nafasi ya CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani kama ambavyo CUF iliandaliwa kuchukua nafasi ya NCCR-Mageuzi na CHADEMA kuchukua nafasi ya CUF?

Nadhani wanaotumia 3D thinking and reasoning wamejua ni chama kipi kinaandaliwa kuchukua nafasi ya CHADEMA!
Utakufa wewe lkn cdm itadumu milele shetani mkubwa wewe
 
Hizo ni ndoto za mchana kweupe. Kwa mwenye akili kama yako,ataamini hivyo,Ila ukweli ni kwamba CCM wanatengeneza CHADEMA imara kuliko wakati mwingine wowote

If you don't believe me, take my words
Anajionyesha jinsi alivyo mweupe kuchwani
 
uchambuzi wako unaweza kuwa na mashiko kulingana na hali halisi ya tawala kutumia pesa na nguvu kubwa kuua upinzani, vile vile kutumia nguvu kubwa (vyombo vya dola) kushinda chaguzi ndogo zinazoendelea. Na kitendo cha kupokea mapandikizi 2015 chadema ilijipiga risasi yenyewe
Cdm ilianzishwa ili idumu na bado ipo na itaendelea kuwepo
 
CHADEMA haiwezi kufa kwa mbinu za kijinga kama hizi. Nawaona waliobuni mbinu hii kama vile wana akili ndogo. Wanafikiria kinyumenyume. CCM wanaifanyia CHADEMA 'pruning' bila wao kujua, hivyo itachipua upya na kwa nguvu.
Mkuu hao ccm wamesahau kuwa ili mbegu iote ni lazima kwanza ioze
 
CHADEMA haiwezi kufa kwa mbinu za kijinga kama hizi. Nawaona waliobuni mbinu hii kama vile wana akili ndogo. Wanafikiria kinyumenyume. CCM wanaifanyia CHADEMA 'pruning' bila wao kujua, hivyo itachipua upya na kwa nguvu.
Mkuu hao ccm wamesahau kuwa ili mbegu iote ni lazima kwanza ioze
 
Akili ndogo kama yako hii historia hujaitambua tu.

NCCR-Mageuzi mwaka 1995 ikawa Chama Kikuu cha Upinzani, mwaka 2000 ikafutika(kimedumu kwa awamu 1 tu kama chama kikuu cha upinzani)

NCCR-Mageuzi imekuwepo tokea kwenye utawala wa awamu ya Rais Mwinyi.


CUF mwaka 2000 kikawa Chama Kikuu cha upinzani, mwaka 2005 kikafutuka(kimedumu kwa awamu 1 tu kama chama kikuu cha upinzani)
CUF iliendelea kuwa chama kikuu cha upinzani hata baada ya uchaguzi wa mwaka 2005.
CHADEMA mwaka 2005 kikawa chama kikuu cha upinzani, mwaka 2010 kikaendelea kuwa chama kikuu cha upinzani, mwaka 2015 kikaendelea kuwa chama kikuu cha upinzani(kimepita awamu 3 za uchaguzi mkuu kikiwa chama kikuu cha upinzani)
CHADEMA haikuwa kuwa chama kikuu cha upinzani mwaka 2005. Nimekuambia baada ya Uchaguzi mkuu mwaka 2005, CUF iliendelea kuwa chama kikuu cha upinzani.


Hii historia umeifikiria??
Wewe ndiye unafikiria masuala ambayo sikuweka kwenye mada yangu.


Kazeni buti kuongeza madau makubwa makubwa mnaweza kufanikiwa...[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom