Hii ni aibu

MIGNON

JF-Expert Member
Nov 23, 2009
4,081
5,061
Sijui kama ni sawa kuliweka jambo hili hapa lakini naamini linagusa siasa na hasa siasa kuingilia vyombo vya utendaji.
Leo asubuhi nimeshuhudiwa kwenye TV bwana mmoja akihukumiwa miaka mitatu kwa kujifanya Afisa mwandamizi wa Usalama wa taifa.Hili halikunistua sana ila nilistuka kusikia kuwa alipata access ya kuingia mpaka kambi ya jeshi na akakirimiwa vilivyo!!!!!!!!!!!Hapo ndipo nilipostuka na ukiangalia ni kuwa Mkuu wa kambi ya jeshi alipata maelekezo kutoka kwa mkuu wa mkoa,AIBU!!!! Tangu lini ???
Ni lazima watu wawajibike kwa hili!!!!
 
Sijui kama ni sawa kuliweka jambo hili hapa lakini naamini linagusa siasa na hasa siasa kuingilia vyombo vya utendaji.
Leo asubuhi nimeshuhudiwa kwenye TV bwana mmoja akihukumiwa miaka mitatu kwa kujifanya Afisa mwandamizi wa Usalama wa taifa.Hili halikunistua sana ila nilistuka kusikia kuwa alipata access ya kuingia mpaka kambi ya jeshi na akakirimiwa vilivyo!!!!!!!!!!!Hapo ndipo nilipostuka na ukiangalia ni kuwa Mkuu wa kambi ya jeshi alipata maelekezo kutoka kwa mkuu wa mkoa,AIBU!!!! Tangu lini ???
Ni lazima watu wawajibike kwa hili!!!!
You have the point there! it is so scary ,huyo nitapeli tu ,vipi akiingia adui wa ukweli si tutakwisha!
 
Hiyo nimeiona na kushtuka mno,tangu lini Mkuu wa Kikosi akapokea maelekezo kutoka kwa mkuu wa mkoa?na Tapeli wa aina hiyo katapeli mpaka mkuu wa upelelezi,RPC ,ni aibu kubwa kuwa waliomshitukia ni waandishi wa habari na sio maafisa upelelezi.Tusipoacha kuchanganya taaluma na siasa kuna siku janga kubwa litatokea.Inabidi mkuu wa mkoa aendelee kuwa mkuu wa mkoa na asiingilie masuala ya jeshi.pia wakuu wa vyombo vya usalama waache kupokea maelekezo ya wanasiasa except Amiri jeshi mkuu.Kwa vile hatujamalizia Rasimu ya Katiba mpya ,naomba yafuatayo yazingatiwe
1.Wakuu wa mikoa na wanasiasa wasihusike kwenye kamati za ulinzi na usalama za mikoa na Wilaya,kama ni lazima sana wawepo basi wawe ex officio au wasikilizaji tu kwani wao sio expert wa masual ya usalama.waje kwa kukaribishwa na isiwe lazima vikao vyote wawepo.
2.Iwe marufuku kwa mkuu wa mkoa au wilaya kumuamrisha mkuu yeyote wa chombo cha usalama kufanya kazi kwa matakwa ya mwanasiasa.Kama mkuu wa mkoa ana ombi basi lipitishwe kwa mkuu wa majeshi au IGP ambao watatoa authorisation ya implementation,na sio mkuu wa mkoa kumuita mkuu wa kikosi cha jeshi au maafisa usalama au polisi na kuwapa amri.
 
Sijui kama ni sawa kuliweka jambo hili hapa lakini naamini linagusa siasa na hasa siasa kuingilia vyombo vya utendaji.
Leo asubuhi nimeshuhudiwa kwenye TV bwana mmoja akihukumiwa miaka mitatu kwa kujifanya Afisa mwandamizi wa Usalama wa taifa.Hili halikunistua sana ila nilistuka kusikia kuwa alipata access ya kuingia mpaka kambi ya jeshi na akakirimiwa vilivyo!!!!!!!!!!!Hapo ndipo nilipostuka na ukiangalia ni kuwa Mkuu wa kambi ya jeshi alipata maelekezo kutoka kwa mkuu wa mkoa,AIBU!!!! Tangu lini ???
Ni lazima watu wawajibike kwa hili!!!!

Cha aibu zaidi mkuu wa mkoa alipata taarifa za ujio wa huyo mtuhumiwa tapeli kwa njia ya simu tu bila maandishi kama ilivyo taratibu za utendaji wa serikali yetu, nae akatoa mwongozo kwa njia ya cm vilevile.. sasa sijui ndo e government without clarity.? Lazima wa wajibike.
 
Sijui kama ni sawa kuliweka jambo hili hapa lakini naamini linagusa siasa na hasa siasa kuingilia vyombo vya utendaji.
Leo asubuhi nimeshuhudiwa kwenye TV bwana mmoja akihukumiwa miaka mitatu kwa kujifanya Afisa mwandamizi wa Usalama wa taifa.Hili halikunistua sana ila nilistuka kusikia kuwa alipata access ya kuingia mpaka kambi ya jeshi na akakirimiwa vilivyo!!!!!!!!!!!Hapo ndipo nilipostuka na ukiangalia ni kuwa Mkuu wa kambi ya jeshi alipata maelekezo kutoka kwa mkuu wa mkoa,AIBU!!!! Tangu lini ???
Ni lazima watu wawajibike kwa hili!!!!

Tunaoijua serikali ya Kikwete hatushangai sana..
 
Waandishi wa habari wamekuwa wataalam zaidi kwenye kutambua wahalifu wa aina hiyo. Imekuwaje?
 
Sijui kama ni sawa kuliweka jambo hili hapa lakini naamini linagusa siasa na hasa siasa kuingilia vyombo vya utendaji.
Leo asubuhi nimeshuhudiwa kwenye TV bwana mmoja akihukumiwa miaka mitatu kwa kujifanya Afisa mwandamizi wa Usalama wa taifa.Hili halikunistua sana ila nilistuka kusikia kuwa alipata access ya kuingia mpaka kambi ya jeshi na akakirimiwa vilivyo!!!!!!!!!!!Hapo ndipo nilipostuka na ukiangalia ni kuwa Mkuu wa kambi ya jeshi alipata maelekezo kutoka kwa mkuu wa mkoa,AIBU!!!! Tangu lini ???
Ni lazima watu wawajibike kwa hili!!!!




Kwa jinsi navyoifahamu serikali ya mjomba akiwajibishwa mtu hapo basi kahamishwa kitengo' vinginevyo huenda vyeo vikapanda kwawatu hapo. Ndo tatizo lakuweka siasa mbele hata kwenye maswala nyeti!! Kama wao wanaingiliwa namatapeli je jukum la ulinzi na usalama wataliweza?? Ndo maana ujio wa Obama uliambatana na makachero wake kila kona kumbe wanajua hatuna jeshi!
 
Back
Top Bottom