Hii ni Aibu kwa wasomi

engmtolera

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
5,150
1,437
Ndugu zangu
shule hii inahitaji msaada,kwani kwa jinsi inavyo onekana serikali ya kijiji na watu wake wameitelekeza shule hii,kwa wale mnao kaa kijiji cha korotambe -Tarime mnaweza kuifahamu vyema shule hii na nadhani wapo watu ambao kwa sasa wanauwezo mkubwa tu wakifedha na wamesoma shule hii

wakati naangalia habari ITV shule hii madarasa yake hayana madawati,milango na hata vyoo vyake vinaonekana ni vya mbavu ya mbwa,angalia bati lake,hivi mbunge hayaoni hayo?

IMG_20120426_012942.jpg IMG_20120426_012949.jpg

hii ni aibu kwa wasomi wetu
 
Mimi binafsi napenda tu nikushukuru kwa kuonyesha kujali na kuguswa na hali ya hii shule na tambua kuwa shule za namna hii bado zipo nyingi sana ndani ya nchi yetu. Hivyo ni suala la kupanga na kuchagua! Mchango wangu ni kwamba, nawaasa watanzania wote kuwa kasi na nguvu tuitumiayo kuchangia sherehe za harusi hebu sasa tuihamishie ktk uchangiaji wa maendeleo na ustawi wa elimu nchini mwetu!
 
Ndugu zangu
shule hii inahitaji msaada,kwani kwa jinsi inavyo onekana serikali ya kijiji na watu wake wameitelekeza shule hii,kwa wale mnao kaa kijiji cha korotambe -Tarime mnaweza kuifahamu vyema shule hii na nadhani wapo watu ambao kwa sasa wanauwezo mkubwa tu wakifedha na wamesoma shule hii

wakati naangalia habari ITV shule hii madarasa yake hayana madawati,milango na hata vyoo vyake vinaonekana ni vya mbavu ya mbwa,angalia bati lake,hivi mbunge hayaoni hayo?

View attachment 52692View attachment 52693

hii ni aibu kwa wasomi wetu
Mkuu, sisi wasomi tunapataje au kuhusikaje na aibu katika jambo ulilolisema? Hebu tafakari na uhariri mada yako. Wasomi hatuna uhusiano wowote na mada yako
 
Ndugu zangu
shule hii inahitaji msaada,kwani kwa jinsi inavyo onekana serikali ya kijiji na watu wake wameitelekeza shule hii,kwa wale mnao kaa kijiji cha korotambe -Tarime mnaweza kuifahamu vyema shule hii na nadhani wapo watu ambao kwa sasa wanauwezo mkubwa tu wakifedha na wamesoma shule hii

wakati naangalia habari ITV shule hii madarasa yake hayana madawati,milango na hata vyoo vyake vinaonekana ni vya mbavu ya mbwa,angalia bati lake,hivi mbunge hayaoni hayo?

View attachment 52692View attachment 52693

hii ni aibu kwa wasomi wetu
Ngoja nimtafute Pro Ndalichako
Anieleze kwa nini haya.
 
Back
Top Bottom