engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Ndugu zangu
shule hii inahitaji msaada,kwani kwa jinsi inavyo onekana serikali ya kijiji na watu wake wameitelekeza shule hii,kwa wale mnao kaa kijiji cha korotambe -Tarime mnaweza kuifahamu vyema shule hii na nadhani wapo watu ambao kwa sasa wanauwezo mkubwa tu wakifedha na wamesoma shule hii
wakati naangalia habari ITV shule hii madarasa yake hayana madawati,milango na hata vyoo vyake vinaonekana ni vya mbavu ya mbwa,angalia bati lake,hivi mbunge hayaoni hayo?
hii ni aibu kwa wasomi wetu
shule hii inahitaji msaada,kwani kwa jinsi inavyo onekana serikali ya kijiji na watu wake wameitelekeza shule hii,kwa wale mnao kaa kijiji cha korotambe -Tarime mnaweza kuifahamu vyema shule hii na nadhani wapo watu ambao kwa sasa wanauwezo mkubwa tu wakifedha na wamesoma shule hii
wakati naangalia habari ITV shule hii madarasa yake hayana madawati,milango na hata vyoo vyake vinaonekana ni vya mbavu ya mbwa,angalia bati lake,hivi mbunge hayaoni hayo?
hii ni aibu kwa wasomi wetu