Hii ni Aibu Chuo kikuu Tanzania na masomo ya Introduction to Computer?

ingekua aliyetoa hii thraed alizaliwa akijua computr au alijua akiwa na miaka 5 atuambie!!!kwanza kwenye kusoma hakuna aibu bwana kitu kama hujui hujui tu!
 
We ulitakaje mwehu nini


Ebu rekebisha kauli yako hii,Hapa JF tupo kujifunza siyo kwamba kila mmoja wetu anajua
Pia ukitazama vizuri na kusoma title ya thread yenyewe,mletaji ANAULIZA SWALI kwamba ni aibu,sasa wewe jibu si aibu na mpe sababu basi.pia mwisho wa thread yake kahoji kama amelewa vinginevyo ,hii inatosha kujua alimaanisha nini Jenga jutaratibu wa kutumia lugha za staha jamani.


"Kichaa aliyekuwa amevaa nadhifu alikuta mtu mmoja mwenye akili timamu akioga mtoni(kama wewe hivi ) huku nguo zote zikiwa kwenye ukingo wa mto,kichaa akakwapua nguo na kukimbia nazo,mwenye akili timamu akaanza kumkimbiza huku akiwa uchi,wakipita mitaani."

Je kati ya hawa nani kichaa?


Mchana mwema
 
mkuu,tafadhali rejea tangazo la hakielimu la ict (maarufu kama sipiyu). kuna mtu anaenda kuionea computer chuo kikuu. utashangaa hiyo introduction inaanzia kwenye kuwasha computer kabisaa. asiyejua, na akajitambua kuwa hajui, akifundishwa atajua na atakuwa mwerevu. elimu haina umri,yule babu wa kenya alianza std 1 akiwa na appx 70 yrs of age!

Nashindwa kuelewa mstakabali wa elimu ya bongo na mapokeo ya ICT</p>
<p>Nimejuzwa na ipo katika matangazo ya Chuo kikuu huria cha tanzania kwamba kinatoa mafunzo ya awali ya computer kwamba wahitomu watapata vyeti.</p>
<p> Masomo wanayotoa ni Introduction to Computer,Ms Word nk
<p>Swali hivi kama haya yanafundishwa na chuo kikuu je kule chekechea wanafundishwa nini?</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Nimesikitika sana!</p>
<p>&nbsp;</p>
<p> labda nimeelewa vinginevyo
 
Ni makosa kufikiri kwamba introduction to Computing ni somo lisilofaa kufundishwa chuo kikuu. Nafikiri ni umasikini wetu tu unaotufanya tupaone chuo kikuu kama sehemu fulani ya ajabu. Nakubali inawezekana ukatakiwa kuwa na basic computing knowledge ku enroll katika a computer science program - and even that is not necessary- lakini vipi kama mimi nimekuja kusoma sociology na sihitaji kujua computing zaidi ya the basics?

Wewe ulitaka wafundishe nini? Computer Programming na Artificial Intelligence ?

Kuna watu wengi tu ambao taaluma zao hazihitaji kujua computer zaidi ya level hiyo ya introduction, na wako chuo kikuu kusoma mambo mengine. Kwa kuchukua kozi hii itawasaidia kujua computer kwa level wanayoihitaji tu, na si zaidi.

Zaidi ya hapo, vyuo vikuu kibao nchi zilizoendelea vinatoa certificates za introductory computing, as a matter of fact nilikuwa namsaidia mzee mmoja mstaafu, yeye hataki kujua mambo mengi sana ya computer, anataka kujua kutumia internet vizuri tu ili ku research mambo ya afya yake na dawa anazotumia. Kaenda chuo kikuu cha karibu, kajisajili katika evening classes, kahitimu course hizo hizo za introduction to computing, zinamfaa.

Tatizo letu hatuangalii elimu kama a practical tool to help us in life, tunaangalia elimu kama some abstract glorified credential held at the top of unrealistic ivory towers, not to be tarnished by the actual needs of everyday people.

Ndiyo maana mpaka leo vyuo vikuu vyetu havijai kibaba, tunaona chuo kikuu ni sehemu moja ya ajaaabu.
here comes Kiranga again
 
Mi naona si aibu hata kidogo... Everything has levels...

By the way, we still need IT trainings especially at the lower level cz our nation is still behind as far as the IT sctor is concerned.

Pia, sio kua wana level hiyo tu, hapana... Mi mwenyewe nimefanya Computer Engineering and Information Technology pale UDSM, so wanazo level za juu na za chini na zote ni muhimu sana.
 
Back
Top Bottom