Hii ndoto sasa imekuwa too much

Okay,
kuota ndoto ukiwa ktk chumba cha mtihani, ni kwamba ulimwengu wa kiroho unakuonyesha wewe kuwa kuna Level ya maisha unataka kuifikia, changamoto ni wakati wa mitihani inapokukabili PHYSICALLY.
Ama huwa unafeli mitihani ama huwa unachoka kusubiri then unaliacha kusudi na kujichanganya na mambo mengine ambayo hayawezi kukufikisha kwenye stage unayoitaka.
Hivyo lazima utaendelea kuwa ktk chumba cha mtihani shule ya sekondari.

Hii ndio tafsiri sahihi, mleta mada shika hii....

Tafsiri hii hii imekuwa ikifundishwa pia na wanazuoni wa mambo ya kiroho
 
Ndoto za shule huwa ni ishara mbaya kwa mujibu wa mwalimu mwakasege,yaani bado hujagraduate kimaisha kutoka sehemu fulani kwenda sehemu fulani,kemea sana hizo ndoto.kuns mkwamo wa kimaisha unakukabili na hautopata suluhisho mpaka uombe sana
Kuna vitu tuwe tunavichuja wenyewe hata kama vimezungumzwa na na waheshimiwa fulani wakubwa.
Hivi, umeletewa jibu la changamoto zako, alafu unamkemea mjumbe na kumfukuza,,,,,,,unakuwa unamaanisha nini?
kwa mfano, Mwakasege kasema ukemee ndoto ya namna hiyo, kwakuwa zina ishara mbaya.
Je, wewe unasemaje?
ila mimi ninashauri, Fumbua mafumbo ya Ndoto za kichwa chako, kupitia Ndoto, unaweza kutambua mahali ulipo ama mahali unapoelekea. Ijue maana then itendee haki.
 
Ndugu JAMBA KWA NGUVU na sisi tunaosahau ndoto nyingi mara kwa mara
Infact, ndoto nyingi huwa tunazisahau,,,,,,hizo huja na kupita tu.
Lakini zipo Ndoto ambazo kwahakika hauwezi kuzisahau, kwani hukufanya uwe mwenye kuzitafakari mchana kutwa kutokana na umbo lake ama maudhui yake.
Nyingine hazisahauliki kutokana na kujirudiarudia ktk usiku mmoja.
JENGA Tabia ya kuwa na UTULIVU NA TAFAKARI mala unapoamka asubuhi.........Usiwe unakurupuka kama kuku na kuwahi ktk hekaheka zako. Hii itakusaidia kuidadavua ndoto ulioiota usiku.
Pia, usiwe na tabia ya KUPUUZIA NDOTO.
Zithamini na Kuzitafakari.
 
Mwaka Jana nmeota sana ndogo hiz Za shule

Nmemaliza darasa la saba 2004 form 4 na 08

Ila ndoto hyo ilkuwa inaeleza baada ya kumaliza sekondary ...sijajua apa kuna mchanganyiko wa hisia Za nliambiwa nlud kusoma lasaba au n mm mwenyewe nmeamua kulud kusoma la saba..

Ndoto mara nying ilkuwa inaonyesha nko darasan ila am not willing kukaa darasan yaan mm mwenyew kwenye ndoto najiuliza ... iv n kwer naludia mtian wa lasaba.. na sikuwa navaa unform


Kwenye ndoto inaonesha mauzulio yang ya darasan hayakuwa mazuri na wala sikuwa napenda kuandika andika nots zlkuwa total znanboa

Ndoto hz zlkuwa znaishia kwenye kle kmue mue cha mtian ila zlkuwa hazifkii kwenye kufanya mtian




Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Habari ya siku wadau.

Ni hivi kila siku nimekuwa nikiota nipo Shuleni na wanafunzi wenzangu hasa sekondari ingawaje ni miaka takribani 10 sasa imepita tangia nihitimu, hii imekuwa ikijirudia Mara kwa mara yani

Je, ndoto hii inamaanisha nini hasa?

USHAURI WENU WAKUU
Usipoendelea na masomo ya juu ujue hutoboi
 
Kuna kitu unaomba Mara nyingi, Mungu anakurudisha anakuambia Kuna mahali hujavuka.

Ombea hizo ndoto za shule, ingawa hujasema ndoto unafanya mtihan or not.

Ungelezea ndoto vizuri
 
Mwaka Jana nmeota sana ndogo hiz Za shule

Nmemaliza darasa la saba 2004 form 4 na 08

Ila ndoto hyo ilkuwa inaeleza baada ya kumaliza sekondary ...sijajua apa kuna mchanganyiko wa hisia Za nliambiwa nlud kusoma lasaba au n mm mwenyewe nmeamua kulud kusoma la saba..

Ndoto mara nying ilkuwa inaonyesha nko darasan ila am not willing kukaa darasan yaan mm mwenyew kwenye ndoto najiuliza ... iv n kwer naludia mtian wa lasaba.. na sikuwa navaa unform


Kwenye ndoto inaonesha mauzulio yang ya darasan hayakuwa mazuri na wala sikuwa napenda kuandika andika nots zlkuwa total znanboa

Ndoto hz zlkuwa znaishia kwenye kle kmue mue cha mtian ila zlkuwa hazifkii kwenye kufanya mtian




Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Hii ndoto inatesa watu wengi sana
 
Wanao ota ndoto hizi na aina ya maisha mliyo nayo mnatakiwa kusema tuone kama zina ukweli.


Former school dream, former house na conflict with other
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom