Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,090
Tundu Lissu amekuwa akizungumza kuhusu mapungufu ya serikali za CCM zilizopita lakini hakuacha kutoa credit kwa watawala waliopita hasa kwenye kuhangaika kunusuru wananchi kipindi cha Majanga, hii ni kuanzia nyakati za baba wa Taifa ambaye hakuacha watu wafe kwa njaa kisa ukame ni janga la asili, hivyohivyo Mzee Mwinyi, Mkapa na Kikwete.
Lakini Maguful anasema wazi kuwa njaa ikipiga wala hataleta chakula mwafaaa
Ni wajibu wetu sisi wananchi kufikiri, Je tuko tayari kuendelea na mtu ambayo tukifikwa na janga atatuacha tufe au tuchague mtu atakayefanya ataaloweza kutusaidia kipindi cha majanga.
Hii video hapa chini ni ushahidi wa kauli ya Lissu
Lakini Maguful anasema wazi kuwa njaa ikipiga wala hataleta chakula mwafaaa
Ni wajibu wetu sisi wananchi kufikiri, Je tuko tayari kuendelea na mtu ambayo tukifikwa na janga atatuacha tufe au tuchague mtu atakayefanya ataaloweza kutusaidia kipindi cha majanga.
Hii video hapa chini ni ushahidi wa kauli ya Lissu